Fidelis Gregory
Senior Member
- May 25, 2015
- 147
- 51
Duuh kweli wabongo waongooooo,mmeziddd
Masawe twambie afya ya Slaa
..
Jibu hoja alizoziibua si mipasho. Jenga utetezi wa hoja zako kumtetea Lowasa na nasubiri hoja zako zinisaidie kumwelewa vizuri Lowasa.
Kumbe Lowasa ni mhitimu chuo Kikuu Dar kwa shahada ya sanaa za maonyesho? Sasa anatumia vizuri elimu ya sanaa za maonyesho kwenye kampeni zake za kisanii.
"Watanzania bado ni kichwa cha mwendawazimu kila msusi anataka kujifunzia vichwani mwao aina ya misuko..."
Iv kwa gharama alizotumia mpaka sasa za kujinad toka ameanza, akikosa urais si atakufa kwa bp mtu huyu?
haya kale malimao
Da hii nchi hatuko serious Leo Lowassa kawa Lulu?
Mwandishi wa hii makala kumbe ni yule Masawe Melisa anaye muabudu Slaa na Mbowe.....sijaona cha maana hapo bali hadithi za Bavicha...