Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,249
Unajua ni mambo ya kuzalilishana wazungu wasihusishwe ktk hili mtakuwa mnawapa kichwa ziwa lilikuwepo kabla ya wao kuja so its we Africa to decide its FATE.
Wanataka leta mambo ya historia eti mtu wa kwanza kuuona mlima kilimanjaro ................pumbavu kwani wachaga uliowakuta pale sio watu?
Wanataka leta mambo ya historia eti mtu wa kwanza kuuona mlima kilimanjaro ................pumbavu kwani wachaga uliowakuta pale sio watu?