Mamaa Ziwa Nyasa linaondoka

Mkuu Episode, kwa kuwa ziwa lote wanaliita ziwa malawi, hivyo kutaka liwe mali ya Malawi, vipi kuhusu upande unaoingia Mozambique, nao upo katika mgogoro huu ?

Hakuna mgogoro upande wa Mozambique. Wakoloni waliweka wazi kabisa mpaka huo, na ni kama unavyoonekana kwenye ramani zote.
Mgogoro upo kati ya Malawi na Tanzania tu.
 
km kawaida akijiloga akasogea tu kichapo mpaka mwisho!!pia tunateua serikali km uganda tulivyofanya
 
Mkuu episodes naomba source.

source angalia kwenye ramani pana nembo ya "theworldatlas.net" ukigoogle itakupa majibu.
hata ya tanzania ipo nayo pia inaonesha mpaka upo ufukweni
tanzania.jpg
 
Quick question; is this confict only between Tanzania an Malawi or does Mozambique have to give up its part of the lake too?

There is no dispute with Mozambique over the lake. They traded territory for a share of the lake. In fact there are two islands that are within Mozambique's waters, close to the shore but that were retained as Malawian and are administered from Lilongwe.
 
Nani atatusaidia kwenye hili,hii ndiyo ramani iliyotolewa na nchi za ulaya na wameamua kuiunga mkono malawi,,,sasa nani atatupigania jamani wamalawi watatumaliza,,,,aibu hiii!

View attachment 67210

Lazima tunyoshe kama Mozambique walivyonyosha vinginevyo tutanyosha kwa mitutu, kumbekeni " Banda wa Malawi katuvalia ngozi ya simba kututishia Watanzania, hatujali hatujali"
 
hamna haja ya kuritwanga mura, turioe riwe rimke retu maana rinahangaika shauri harija orewa, wanaume wamekua marais hawakujaribu huu ujinga renyewe hata harija kaa mwaka rinareta kihere here. ni ra kuoa tu riturie mura!

Tena Mura rikijitia rinataka kureta za kureta na Wamarawi wote tunawatwanga mura na kuwawowa, vipi afande Mara, Chacha, Warioba, Mwita, Chambiri, piga rimanamke harafu ripe uchi wa moto
 
Jamani vijana tupo watupe mafunzo tutinge hapo malawi tumalize ubishi shezi zao...lakini nikitoka huko CCM lazima ing'oke madarakani pia...
 
Mnapokua mnaongelea maswala sensitive kama ya mipaka ya nchi inabidi utani uwekwe mbali,
Nimesoma Jiografia ya Tanzania, na vielelezo vyake nikijua umiliki wa maziwa haya matatu makubwa leo mtu anasema ulaya wametoa ramani inayosema sijui upuuzi gani, anyways itakua ngumu kuondoa kichwani mwangu hiki alichoniwekea mwalimu. Haitakua raisi kama wanavyofikiri.
 
Quick question; is this confict only between Tanzania an Malawi or does Mozambique have to give up its part of the lake too?

The issue between Malawi and Mozambique was settled in 1963 by Mozambique to sacrify her part of land to get some portion of the lake.
 
Lazima tunyoshe kama Mozambique walivyonyosha vinginevyo tutanyosha kwa mitutu, kumbekeni " Banda wa Malawi katuvalia ngozi ya simba kututishia Watanzania, hatujali hatujali"
Mkuu msumbiji walipata sehemu ya ziwa kupitia mazungumzo na sio mtutu.

Ilibidi watoe sehemu ya ardhi yao tena yenye vivutio kama milima iende Malawi ndio wakapata hicho kisehemu cha ziwa.
Tanzania tuko tayari kutoa nini?
 
TATIZO KUBWA LA RAISI KIKWETE si mkweli kwa watanzania, shida yake kubwa ni kumaliza utawala wake amuachie msala raisi ajaye!Kimsingi, Raisi hana nia ya dhati kabisa kutoka moyoni ya kulitetea ziwa. Raisi wa malawi tayari alishaliwakilisha wajulisha viongozi waandamizi wa UN akiwemo Katibu mkuu siku nyingi kabla ya kikwete ambaye amekenda tuu juzi na kujichekeshachekesha kama vile hili suala ni dogo na ni la kawaida mno na wamalawi watalijadili pamoja na wa TZ na kulimaliza.wakati kiuhalisia wamalawi hawakotayari kabisa kuachia sehemu yeyote ya ziwa kwa Tz na wako serious zaidi kuliko viongozi wetu.

Nahiyo ramani iliyomwanzo wa thread, ni ya zamani na ilishakosewa ambayo bado ipo kwenye kumbukumbu nyingi za mitandaoni, ingawa tatizo la mipaka lilianza kuzungumziwa zamani bilakutanguliza marekebisho ya ramani.
 
TATIZO KUBWA LA RAISI KIKWETE si mkweli kwa watanzania, shida yake kubwa ni kumaliza utawala wake amuachie msala raisi ajaye!Kimsingi, Raisi hana nia ya dhati kabisa kutoka moyoni ya kulitetea ziwa. Raisi wa malawi tayari alishaliwakilisha wajulisha viongozi waandamizi wa UN akiwemo Katibu mkuu siku nyingi kabla ya kikwete ambaye amekenda tuu juzi na kujichekeshachekesha kama vile hili suala ni dogo na ni la kawaida mno na wamalawi watalijadili pamoja na wa TZ na kulimaliza.wakati kiuhalisia wamalawi hawakotayari kabisa kuachia sehemu yeyote ya ziwa kwa Tz na wako serious zaidi kuliko viongozi wetu.

Nahiyo ramani iliyomwanzo wa thread, ni ya zamani na ilishakosewa ambayo bado ipo kwenye kumbukumbu nyingi za mitandaoni, ingawa tatizo la mipaka lilianza kuzungumziwa zamani bilakutanguliza marekebisho ya ramani.
 
Kwa hiyo maji yanayotoka milima ya Mbambabay, "from high potential zone to low" na pengine underground water; hatustahili kuyatumia? Hebu tumchape huyu mama na tugawane 50/50 mapema.
 
Quick question; is this confict only between Tanzania an Malawi or does Mozambique have to give up its part of the lake too?

yes,very gd qn. Wamalawi wanadai ziwa lote 100% ni mali yao, while ze same lake falls in 3 countries according to the existing maps, so nilitegemea Mozamb nao wangeipinga wazi wazi kauli tata ya Malawi so far sijawasikia wakiipinga kauli hiyo, najiuliza ni kwanini? if the whole lake belongs to Malawians, kwanini walitoa vibali kwa makampuni kutoka UK kufanya utafiti wa mafuta kwenye eneo la ziwa Nyasa lililo upande wa Tz na si Mozamb? Au Mozamb & Malawi wanatuzunguka?
 
Huyu bwana angalau angeturudishia imani akina sie ambao imani iliyokuwepo ni ya kuunga na 'aradite', kwa kulipigania hili ziwa. Tatizo yeye yuko mbali anakazana kuzima mioto ya mbali wakati mioto ya karibu inakaribia kushika mapaa!
 
Back
Top Bottom