Kwani ni nini Kujua Kingereza, kwani Mkalimani hakuwepo ?, sio tatizo kabisa, mama Salama ni a victim wa elimu ya Nyerere,kufunzwa kiswahili, na kuanza kutumai kingereza wakati umesha komaa akili kujifunza lugha mpya .Wangapi hawajui kimombo na wako vizuri tuu, sio tatizo yeye ni Mke wa raisi, haitaji kuna na PHD jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.