Mama Yetu Salima Hawezi Kupasua Mayai?

The Prophet

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
682
94
ni kule sauzi wanako randaranda mitaani na baba ritzi wani wakati watz wanaendelea na maisha bora kwa kila mtanzania kwa ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi.

salima alijuta alipotembela kituo cha kulelea watoto yatima na kukutana na anayekiendesha ambaye hajui kizulu wala kihosa. mama huyu mwenye kituo yeye kuongea kingereza ni rahisi kama serekali ya jk na ufisadi.

bi salima aligeuka bubu gafla na muda wote yule mama alikuwa akisua mayai, salima alibaki kupigwa butwaa na kujibu kwa kutamka "mmmh" "mmmh". mzungu alikuwa akiongea kama vile yuko peke yake. na muda wote mwandishi wa habari alikwepesha kamera isimuoneshe mama yetu wa magogoni alivo mweupe kwenye ishu ya intanesheno langweji. hii ni aibu sana kwa mama yetu salima.

alikuja kuoneshwa kwenye kamera pale alipopohojiwa na mwandishi aliyetumia lugha ya kariakoo. kiswahili. hapo tena salima alionekana mwenye bashasha, lakini alichoongea mimi sikupata mantiki.

kazi ipo.

malizeni basi huo uzururaji jamani mje huku kwamtogole hatuna umeme wala maji.
 
umenifanya nicheke hadi mwanangu blanca ananiuliza hapa.....yule mama wa magogoni mwacheni tu...yaani kwa kweli wangempeleka hata pale british council akajifunza
 
ni kule sauzi wanako randaranda mitaani na baba ritzi wani wakati watz wanaendelea na maisha bora kwa kila mtanzania kwa ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi.

Salima alijuta alipotembela kituo cha kulelea watoto yatima na kukutana na anayekiendesha ambaye hajui kizulu wala kihosa. Mama huyu mwenye kituo yeye kuongea kingereza ni rahisi kama serekali ya jk na ufisadi.

Bi salima aligeuka bubu gafla na muda wote yule mama alikuwa akisua mayai, salima alibaki kupigwa butwaa na kujibu kwa kutamka "mmmh" "mmmh". Mzungu alikuwa akiongea kama vile yuko peke yake. Na muda wote mwandishi wa habari alikwepesha kamera isimuoneshe mama yetu wa magogoni alivo mweupe kwenye ishu ya intanesheno langweji. Hii ni aibu sana kwa mama yetu salima.

Alikuja kuoneshwa kwenye kamera pale alipopohojiwa na mwandishi aliyetumia lugha ya kariakoo. Kiswahili. Hapo tena salima alionekana mwenye bashasha, lakini alichoongea mimi sikupata mantiki.

Kazi ipo.

Malizeni basi huo uzururaji jamani mje huku kwamtogole hatuna umeme wala maji.

atajulia wapi??? Na yeye kaform4 kazamani..
 
Aha haa Mbavu zangu jamani; sijui kwani alienda huko? Maana unapoenda kwenye mayai na hujui kuyapasua huoni kuwa unajitafutia aibu mwenyewe!
 
Hivi salima ni first lady au ni fourth lady? Kwa sababu Kj ambaye ni mume wake si ni rais wa nne wa ZT?
 
Kama hajui lugha ilibidi atembee na translator. Kingereza ni lugha ya kiofisi kwa huku kwetu sasa hao aliokua nao hakuna hata mmoja ambae angeweza kumtafsiria? Au mama hakutaka aonekane kuwa hajui kilugha?
 
Kama hajui lugha ilibidi atembee na translator. Kingereza ni lugha ya kiofisi kwa huku kwetu sasa hao aliokua nao hakuna hata mmoja ambae angeweza kumtafsiria? Au mama hakutaka aonekane kuwa hajui kilugha?

bi salima alikuwa hataki hata kuuza nyago kwenye kamera wakati mzungu alipokuwa anampasulia mayai.

sosi: itv jana usiku
 
jamani kujua kingereza si hoja. sio lazima akijue. cha msingi ni kuwa angejipanga kuwa walau na mkalimani ili amsaidie kufuatilia kiendeleacho. sio first ladies wote wanajua kingereza na sio lazima wakijue. ntafurahi hata ukiwa unakijua kingereza ukaongea kwa lugha ya nchini mwako. ingawa magamba siwapendi but sioni fahari kujua kingereza na kudharau lugha yangu ya kiswahili.
 
ni kule sauzi wanako randaranda mitaani na baba ritzi wani wakati watz wanaendelea na maisha bora kwa kila mtanzania kwa ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi.salima alijuta alipotembela kituo cha kulelea watoto yatima na kukutana na anayekiendesha ambaye hajui kizulu wala kihosa. mama huyu mwenye kituo yeye kuongea kingereza ni rahisi kama serekali ya jk na ufisadi. bi salima aligeuka bubu gafla na muda wote yule mama alikuwa akisua mayai, salima alibaki kupigwa butwaa na kujibu kwa kutamka "mmmh" "mmmh". mzungu alikuwa akiongea kama vile yuko peke yake. na muda wote mwandishi wa habari alikwepesha kamera isimuoneshe mama yetu wa magogoni alivo mweupe kwenye ishu ya intanesheno langweji. hii ni aibu sana kwa mama yetu salima.alikuja kuoneshwa kwenye kamera pale alipopohojiwa na mwandishi aliyetumia lugha ya kariakoo. kiswahili. hapo tena salima alionekana mwenye bashasha, lakini alichoongea mimi sikupata mantiki.kazi ipo.malizeni basi huo uzururaji jamani mje huku kwamtogole hatuna umeme wala maji.
nadhani tumekosa hoja!hata kiswahili ni international language ina maana mama salma hajui kiswahili??! Do not hate the player hate the game!!!!!!
 
jamani kujua kingereza si hoja. sio lazima akijue. cha msingi ni kuwa angejipanga kuwa walau na mkalimani ili amsaidie kufuatilia kiendeleacho. sio first ladies wote wanajua kingereza na sio lazima wakijue. ntafurahi hata ukiwa unakijua kingereza ukaongea kwa lugha ya nchini mwako. ingawa magamba siwapendi but sioni fahari kujua kingereza na kudharau lugha yangu ya kiswahili.

hakuna mahala tumesema tunadharau kiswahili.

wewe unachanganya mada tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom