yes am selfish, sitaki mwanaume mwaishani mwangu nataka mtoto tu na sperm donors mko kibao
well i rest my case.....
yes am selfish, sitaki mwanaume mwaishani mwangu nataka mtoto tu na sperm donors mko kibao
kama yumo humu ataanza kulia muda si mrefu.Kwa hiyo kwenye suala la kufikishana kileleni yuko NOAH mwingine?Ngoja nimuite FP akusikiewadhani ni nyie tu ndo mwaangalia wife material?hata sisi twajua huyu bwana ni wa kuuzia sura mtaani ama wa kujenga naye family, so huyu wangu ni wa ku-show off tu
madameA una maoni gani katika hili?naona umenyuti tu hapo
Tatizo lingine hili