Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

Mungu utuhurumie nchi yetu inazidi kupanda na kuvuna laana.Matukio ya utekaji kwa kutumia itikadi ya siasa ili kukichafua

chama cha upinzani kwenye jamii yameshamiri na watanzania hatuyakubali na hayavumiliki
 
Amezidi sana upole zito,inatakiwa ajibu mapigo sio kuwanyamazia.serikali yenyewe kama ina walea lea tu.
 
dah!
NAWEZA KUELEWA MTU UKIWA NA NJAA!
NAWEZA KUELEWA MTU UKIWA NA UCHU!
LAKINI KWA HILI,TUSIFIKE HUKO JAMANi!
yani najiuliza tu kwa huyo huo kada wa chadema alienda akiwa na bagde usoni??
kada yupi wa chadema asiye mjua mamake zitto??
kiasi cha kwenda wazi wazi hivyo???
huu ni wehu!
 
ile movi ya lwakatare inaendelea, ushahidi unatafutwa kwa udi na uvumba ku-justify kwamba CDM ni magaidi- Kazi bado ni pevu.

hizi siasa hazitufikishi popote ndugu zangu, sana sana tutaingia kwenye machafuko tu yasiyo na lazima.

time will tell! Kama amemtambua itakuwa vizuri zaidi bt i can smell smth
 
Siasa uchwara - (gutter politics); - RA
Bila CCM imara nchi itayumba -- JK- Nyerere
 
ninyi ndio mnaopanga mauwaji na mateso ya raia huko gizani kisha mnawahi kupotosha kwenye vyombo vya habari...kitendo cha kukamatwa na video mkipanga mauwaji kisha mkaanza kuwalaumu wana usalama ni ushahidi tosha..kama haitoshi mama yake zitto amemtambua kada wa chadema lakini pia akampigia kaimu mkuu wa usalama wa chama bwana sabula akamjibu anapatia wapi fedha anayotumia kumfanyia kampeni za urais na uenyekiti mwanaye zitto.. hebu kabla hujaandika kaa chini tafakari kwanza ndipo uone namna gani ujipendekeze kwa mabwana zako.

Wale wale wa book 7!!!!!!!!!!

Tiba
 
Kinachomponza jk ni uwazi wake na misimamo yake ndani ya chama chake watu hawapendi mabo hayo cdm ni ya mapacha watatu.
 
Mimi bado na-question hii habari..! Inakuwaje tukio litokee ijumaa kwa mtu kama huyo, lisiripotiwe na chombo chochote cha habari...mpaka LEO JUMATANO, tena kwenye GAZETI moja lenye mlengo mmoja??. Hii habari Inashughulisha sana akili.
 
Viongozi wa chadema watoe pole ya nn wakati yy zitto na mama ndo wanaitumikia ccm, washindwe na walegee.
 
Zitto be carefull Mkuu.
Kuna kikundi cha watu kimejipa ama kimekuwa assigned Kazi ya Kuichafua CDM kwa namna yoyote ile.
Na Kikundi hiki Mara zote kinasafiria Nyota yako kutimiza azma yao ovu.

Angalizo.
Hao Jamaa sio wema hata Kidogo...katika kutekeleza ushetan wao huo sitashangaa kama siku waki opt kufanya tukio ambalo lita ku gharimu na wewe...
 
Last edited by a moderator:

Kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Mtanzania la leo kuhusumajambazi kumvamia Mama Shida Salum na maelezo yake ambayo ameyatoa ni kamaifuatavyo;

i. Lengo kuu ni kuwa Polisi watamkamata Hemed Sabula, ambaye CHADEMA walimtumia kumrekodi Afisa usalama wa Taifa ambaye alikuwaanaanda ushahidi feki wa kumhusisha Lwakatare na ugaidi ……na tayari Polisiwameelekezwa kufanya hivyo kesho .

ii. Usalama wa Taifa , wameamua kulipiza kisasi kwaCHADEMA baada ya kurekodiwa na wanataka kujua walirekodi nini na hichowalichorekodi kipo wapi, hivyo Sabula atateswa sana ili aseme aliwezajekuwarekodi

iii. Zoka Jack , alifanya mawasiliano na ambaowalihusika katika kuandaa na kuandika habari hiyo na mwandishi alikuwaakielekezwa kila kitu, na ndio maana hajawahoji polisi kama suala hilo likokwenye uchungiuzi ama laa , na leo au kesho polisi watatoa tamko kuhusiana nasuala hilo na kuwa wanaendelea na uchunguzi na watamkamata Sabula, swaliatakaloulizwa ni kuwa mbona yeye aliuliza swali kama walivyofanya majambazi haowa kutungwa

iv. Sabula mawasiliano yake ya simu yamefanyiwa kazina baahati mbaya ameonekana kuwa hakumuuliza mama Zitto swali hilo la kuwaanatoa wapi fedha za kuzunguka nchi nzima ,ila alimuuliza juu ya kamaanawafahamu watu hao ama kama alishawahi kuwaona naye akamwambia atarudi kwakebaadae na hakuna ushahidi wa kimawasiliano kama alirejea tena kwake na badalayake akaenda kuongea na vyobo vya habari.

v. Kuhusu kwamba kijana mmoja ni mtu kutoka Tanga ,yupo kijana mmoja anaandaliwa anaitwa Khalid atakamatwa kwa hatua za baadae ,na huyu tayari ameshaandaliwa kimkakati.

Nawashauri CHADEMA wafanye yafuatayo kwa hatua za sasa;

a. Hakikisheni kuwa kuanzia leo mnaweka mawakili wenu kwaajili ya kuhakikisha kuwa Sabula haendi polisi peke yake ili asiteswe

b. Hakikishenikuwa mikanda mliyowarekodi watu wa usalama inawekwa mahali salama kwaniinatafutwa kwa gharama kubwa sana ili iweze kuandaliwa majibu.

c. Wapo watuambao mpaka sasa wanaweza kupoteza kazi kutokana na sakata hili , jiandaenikuwatetea …..

Naishia hapo kwa leo.
 
Back
Top Bottom