Mama yake Wema Sepetu unajishushia heshima

huyu mama kuna kituko alifanya kwenye event moja night kisa mambo haya haya ya binti yake yaani ni aibu.

ukishajijua wewe ni mtu mzima inabidi uishi kiutu uzima
Yawezekana na yeye anatafuta watu wazima wa kumtuliza mtima!
 
Lakini huyo maza hata mvuto hana.

Anaonekana ana mi love handles kibao.

Ila uzuri ni kwamba haya mambo ya mvuto ni ya mtu binafsi na nafsi yake.

Ukionacho wewe hakina mvuto kwa mwingine chaweza kuwa ndo dhahabu.
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ila kwangu naona una mvuto na hiyo ID ndo imenivutia
 
Don't remind me about this woman aliwah kuwa mama mwenye nyumba wangu, mwe mwe mwe
 
Huyu Mama kuna angle nilikutana nae!!Doooo aasalaleheeeee!!!Nikajisemea "Mkristo kaza moyo,kituo cha Tisa,Msalaba wamlemea mwokozi"
Yaani akionja bia kadhaa basi zinahama toka kichwani kuja kwingine....Tatizo ukiungalia uso na makunyanzi Abdalah anasinzia,lkn ukijivika kininja ukawa unapapasa tu kizani....Mbona Swalaah swalaaah hii hapa mtu bado unatupia tu.

Huyu Mama enzi zake,Wazee wetu watakuwa walicheza sana "Off side" trick...Sema ndio hivyo mafb na mainsta hayakuwepo

Tena bia yake safari lager anazipiga kama maji
 
Mama anatafuta

kick.jpg
 
Huyu Mama kuna angle nilikutana nae!!Doooo aasalaleheeeee!!!Nikajisemea "Mkristo kaza moyo,kituo cha Tisa,Msalaba wamlemea mwokozi"
Yaani akionja bia kadhaa basi zinahama toka kichwani kuja kwingine....Tatizo ukiungalia uso na makunyanzi Abdalah anasinzia,lkn ukijivika kininja ukawa unapapasa tu kizani....Mbona Swalaah swalaaah hii hapa mtu bado unatupia tu.

Huyu Mama enzi zake,Wazee wetu watakuwa walicheza sana "Off side" trick...Sema ndio hivyo mafb na mainsta hayakuwepo
unamaanisha wali mla kidaka au ??
 
Jana nilimuona manfongo alikua anahojiwa enewz alisikitika sana anasema uyo ni mama yake hawez jibishana nae walikua kwenye gari na wasanii wenzie kuna msanii katoa maneno kumtumia uyo mama tofaut na walivyokua wanaongea
Fongo mtaratibu sana sema huyo mama yake wema ndo mswahili sana
 
Back
Top Bottom