ngoja niondokeMkuu ningeshangaa hapa kama ningekukosa sijamuona missnatafuta tu hapa
Itakuwa copy ya bibi cheka bila shakaTabia ni ngozi mimi bibi yangu mzaa baba anamiaka 70s ila izi bongofleva anavyoimba tena mpya mpya yaaani ki ufupi ni mama wema type so hao watu wapo.
Kwa umri wake lazma ukamulie ndimu nyingi ili alike vizuriNikikutana nae club kalewa nateleza na kiuno chake!
Hahahahahahaha ndio haohao.Itakuwa copy ya bibi cheka bila shaka
Yawezekana na yeye anatafuta watu wazima wa kumtuliza mtima!huyu mama kuna kituko alifanya kwenye event moja night kisa mambo haya haya ya binti yake yaani ni aibu.
ukishajijua wewe ni mtu mzima inabidi uishi kiutu uzima
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ila kwangu naona una mvuto na hiyo ID ndo imenivutiaLakini huyo maza hata mvuto hana.
Anaonekana ana mi love handles kibao.
Ila uzuri ni kwamba haya mambo ya mvuto ni ya mtu binafsi na nafsi yake.
Ukionacho wewe hakina mvuto kwa mwingine chaweza kuwa ndo dhahabu.
Mbona crip yake haiji ili na sisi tumlaumu vizur
Nyelele - NyerereSTIVU NYELELE ana kazi sana.... Sijui nani kamwalibu mwenzie
Huyu Mama kuna angle nilikutana nae!!Doooo aasalaleheeeee!!!Nikajisemea "Mkristo kaza moyo,kituo cha Tisa,Msalaba wamlemea mwokozi"
Yaani akionja bia kadhaa basi zinahama toka kichwani kuja kwingine....Tatizo ukiungalia uso na makunyanzi Abdalah anasinzia,lkn ukijivika kininja ukawa unapapasa tu kizani....Mbona Swalaah swalaaah hii hapa mtu bado unatupia tu.
Huyu Mama enzi zake,Wazee wetu watakuwa walicheza sana "Off side" trick...Sema ndio hivyo mafb na mainsta hayakuwepo
Mi huwa nahisi huyu mama enzi zake alikuwa ndo gigy money, sema alikosa publicity tuu
Kamuaribu = KamuharibuNyelele - Nyerere
Kamwalibu - kamuaribu
unamaanisha wali mla kidaka au ??Huyu Mama kuna angle nilikutana nae!!Doooo aasalaleheeeee!!!Nikajisemea "Mkristo kaza moyo,kituo cha Tisa,Msalaba wamlemea mwokozi"
Yaani akionja bia kadhaa basi zinahama toka kichwani kuja kwingine....Tatizo ukiungalia uso na makunyanzi Abdalah anasinzia,lkn ukijivika kininja ukawa unapapasa tu kizani....Mbona Swalaah swalaaah hii hapa mtu bado unatupia tu.
Huyu Mama enzi zake,Wazee wetu watakuwa walicheza sana "Off side" trick...Sema ndio hivyo mafb na mainsta hayakuwepo
Huyo mama alienda pia kwenye kigoma cha Wema alichokifanyia sijui ndo Escape 1 pale.
Tena akapanda hadi kwenye jukwaa.
Akawa anajitikisa tikisa kama wale wadada wengine walivyokuwa wanafanya.
Hajielewi huyo mwanamke.
Fongo mtaratibu sana sema huyo mama yake wema ndo mswahili sanaJana nilimuona manfongo alikua anahojiwa enewz alisikitika sana anasema uyo ni mama yake hawez jibishana nae walikua kwenye gari na wasanii wenzie kuna msanii katoa maneno kumtumia uyo mama tofaut na walivyokua wanaongea