brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
hajielewi huyo alaf anaonekana ni mrahisi sana ukimuomba gemuHuyu mama leo kanichekesha pia eti anamwambia soud nikueleze wewe kama nanii etii mm naongea na baba ake sio man fongo jaman wasanii ni wengi tuu ila huwa mama zao hawaongeii ,huyu mama ilipaswa mambo mengine akipigiwa simu awe anakata tuu simu asijibu lolote lile ili heahima yake iwepo ila kuongea kwenye media utamchapa soudy wewe jaman hiv ni vitukoo