Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,814
Sielew... Daaah aiseeh labda we unaona sawaunamuonea huruma? kuna kitu bado hujui wewe.
Sielew... Daaah aiseeh labda we unaona sawaunamuonea huruma? kuna kitu bado hujui wewe.
Kipingamizi cha nini wakati dogo kafanya sunna ya mtume?mtume alioa mwanamke aliyemzidi umri.
Aiseeeh....kwani hana kifanyio !?Maskini namuonea huruma sana huyu dogo
wako kifaida zaidiMmh aisee wamama wa kidigital hawana vipingamizi.
Sisi wanawake tukimpenda mwanaume. Huwa tunawapenda na wazazi wake. Ireen Mara nyingi anaidhi maisha ya bongo movie.Kwenye ndoa,huyo mama hatakua na sauti wala amri ya kumtaka uwoya ampikie msosi
Habakwi ule mshedede unamtuliza Irene maana pale haujasimama uko vile ukisimama na kuumuka si balaaNaona Dogo Akienda Kubakwa na Irene
ToooobaaaaaahhhHabakwi ule mshedede unamtuliza Irene maana pale haujasimama uko vile ukisimama na kuumuka si balaa
Huku ngarenaro kwao gari haifiki yani manzese kwa mfuga mbwa kuzuri,hku nyumba 70% ni fito zimekandikwa tope halafu fupi usawa wa mabega,sehemu kubwa hakuna barabara ya kupita gariMmh aisee wamama wa kidigital hawana vipingamizi.
Mbona huyo mama muongo muongo hivyo...Hawajaoana ni video ndan ya wimbo wa msanii keisha
Huku ngarenaro kwao gari haifiki yani manzese kwa mfuga mbwa kuzuri,hku nyumba 70% ni fito zimekandikwa tope halafu fupi usawa wa mabega,sehemu kubwa hakuna barabara ya kupita gari
Mbona huyo mama muongo muongo hivyo...