Mama yake Ange Kagame

Mama yake Ange Kagame

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1407487215.256785.jpg
 
Watutsi wana sura nzuri sema wanatabia ya kudharau makabila mengine,mfano mzuri ni hali ya mambo huko Rwanda na Burundi hawataki kuongozwa na wahutu ambao ndio kabila kubwa both Rwanda and Burundi.
 
Watutsi wana sura nzuri sema wanatabia ya kudharau makabila mengine,mfano mzuri ni hali ya mambo huko Rwanda na Burundi hawataki kuongozwa na wahutu ambao ndio kabila kubwa both Rwanda and Burundi.

Wanaamini wao ni wateule kama waisrael.
 
Ebu fikiria watutsi wapo chini ya 15% huku wahutu wakiwa zaidi ya 85% ukiweka na uhasama mkubwa wa kikabila uliotamalaki huko Rwanda unaambiwa Kagame mtutsi kashinda kwa zaidi ya 90% ha ha ha ha ha.Watu wanasema CCM ni wataalamu wa kuiba kura lakini hawamfikii Kagame yeye kaiba hadi wamarekani wakastuka.

Wanaamini wao ni wateule kama waisrael.
 
Back
Top Bottom