Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
![]()
Ngoja nijipendekeze hata kwenye siasa labda naweza pata huyo binti
Hata mwana Asha mzuri kama babake
![]()
Ngoja nijipendekeze hata kwenye siasa labda naweza pata huyo binti
WA kawaida Sana, sijaona uzito WA kufunguliwa thread,
Ange kwa kifaransa,ANGEL KWA KIINGILISH,hujambo lakini?kwa hiyo basi ni Angel na sio Agnes
angelaa ki arusha
@weka picha hapa!Mama ni mzuri kuliko binti, ebu fikirieni alipokuwa miaka 25, huyu mama alikuwaje? Ila wasichana wa Kirwanda, miguu kama magogo.
Watutsi wana sura nzuri sema wanatabia ya kudharau makabila mengine,mfano mzuri ni hali ya mambo huko Rwanda na Burundi hawataki kuongozwa na wahutu ambao ndio kabila kubwa both Rwanda and Burundi.
Mama yetu ana sura ya kiswahili
Hata mwana Asha mzuri kama babake
Kwahiyo na yeye atakuwa mbunge wa msoga, Kisha atakuwa waziri na baadae rais!!!!!!??????Sio uzuri kama baba yake tu bali hata akili ni kama baba yake!!!
Kwahiyo na yeye atakuwa mbunge wa msoga, Kisha atakuwa waziri na baadae rais!!!!!!??????