Kwahiyo Mama Wassira ndio kithibitisho kuwa CHADEMA haifi.
vyanda vyema karibuni tuimarishe chadema NI MPANGO WA MUNGU
ni mmoja wa wanafamilia ya akina Wassira, miongoni mwa maccm walioitabiria CDM kifo.
Shangaa wanafamilia sasa wanaona nuru ndani ya CDM
Hii habari ilipaswa leo iwe ni habari kubwa kidogo!
Katika harakati za kuendelea kwenye ukombozi, Jana tumeshuhudia watu wawili
Muhimu sana katika familia za CCM wakijiunga na Chadema.
Aliyekuwa DC wa Mbozi Bwana Kimolo na Mama Rachel Wassira!
Ndio waliyofanya maamuzi sahii siku ya jana kwa kuamua kuvua magamba na kuvaa magwanda.
Wakati Mama Wassira anajiunga na Chadema jana alisema hiki chama kina MUNGU!! Na hana sababu inayomfanya aendelee kuwa CCM.
Hongera sana Mama Wassira, na kwa kupitia wewe Tunaamini Mzee George Wassira atakuja huku pia..
Hongera Pia Mzee Kimolo.
Ndio, Stivini atakufa Chadema itabakiKwahiyo Mama Wassira ndio kithibitisho kuwa CHADEMA haifi.
Mama Wassira ndio mzimu gani huo? Na je yeye ni mchagga? Kama sio mchagga ataishia kutumiwa na kisha kutupwa km toilet paper.
Watakuja woote lakini ""wasira HAPANA"hatumtaki wacheni abaki mwenyewe na maccm yake maana ni mchawi sanaa huyo mwanga kha!!
Hii habari ilipaswa leo iwe ni habari kubwa kidogo!
Katika harakati za kuendelea kwenye ukombozi, Jana tumeshuhudia watu wawili
Muhimu sana katika familia za CCM wakijiunga na Chadema.
Aliyekuwa DC wa Mbozi Bwana Kimolo na Mama Rachel Wassira!
Ndio waliyofanya maamuzi sahii siku ya jana kwa kuamua kuvua magamba na kuvaa magwanda.
Wakati Mama Wassira anajiunga na Chadema jana alisema hiki chama kina MUNGU!! Na hana sababu inayomfanya aendelee kuwa CCM.
Hongera sana Mama Wassira, na kwa kupitia wewe Tunaamini Mzee George Wassira atakuja huku pia..
Hongera Pia Mzee Kimolo.
Ni habari njema kwa wakati muafaka. Wacha Lekatutigite team na MaCCM LB7 FC wajidanganye kuwa CHADEMA inakufa.
Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.hongereni kwa kujitambua
Safi sana.
vyanda vyema karibuni tuimarishe chadema NI MPANGO WA MUNGU
Kuingia na kuishi kwenye nyumba yenye misingi imara ni maamuzi sahihi sana. CHADEMA ni kwa wote wenye mapenzi mema na Tanzania. Kama mtu yupo CHADEMA kwa sababu kuna Dr Slaa, Mzee Mtei, Mbowe, Zito, Msigwa, Mnyika, Mdee nk, atoke haraka sana maana amekosea mlango.
Tuliopo CHADEMA ni wale tu tunaoamini ktk katiba ya CHADEMA jinsi inavyotutaka wanachama tuwe.
KARIBUNI SANA.
Watakuja woote lakini ""wasira HAPANA"hatumtaki wacheni abaki mwenyewe na maccm yake maana ni mchawi sanaa huyo mwanga kha!!
chama chenye misingi imara
Mnauwezo wa kufukuza?eti kafukuzwa kazi!ccm kabisaaa,kufeni na mafisadi wenu,yupi mliwahi mfukuza?taja japo wawili sio unaongea onge tu,mbavu sana
huyu kimolo ni yule aliyekuwa analewa mpaka anaokotwa au ni kimolo yupi.
vyanda vyema karibuni tuimarishe chadema NI MPANGO WA MUNGU
Narudia tena:- hapa ndio mwisho wa Akili za barvichaa,huyo mwanamke isitoshe hata majirani zake hawamjui,lakinj Jitu linakurupika toka usingizini hata mswaki kushney,linakuja kuandika Upuuz hapa
Huyo huyo Kilaza ambaye alikuwa analewa mpaka anajikojolea.
Ilifika wakati akafutwa kazi kwa kupewa barua kesho yake akaenda kwenye media kujitangaza kuwa amejiuzulu.
Nani alikiwa anamjua kilaza wa kichaga.