Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,104
- 9,210
Jana basi baada ya kupata Moja mbili Tatu tulikuwa tumewasiliana na Baby wangu huyu ni mshangazi kwangu akasema yeye hajisikii kutoka kama nataka nifumfuate kwake tukabanjuane
Huyu single Mama ana watoto wawili mmoja mkubwa yuko darasa la 7 Jana yeye hakuwepo akawa amebaki mdogo wa Miaka kama mitatu hivi. Hile nafika Tu mtoto nimemkuta bado ajalala akaanza kuuliza Mama huyu ni Nani?
Mama yake akamjibu uncle kumbuka hapo mama yake akutaka majirani zake wapangaji wenzie wajue mtoto bhana akaanza kulia toka kwetu Kwa sauti kubwa eheeeh! Lia Sana Sana mpaka mama yake ikabidi aseme toka Tu utakuja siku nyingine huyu mtoto ni malaika itakua kaonyeshwa kitu.
Kinyonge nikaanza kuondoka na nauli nimechoma hapa ananitumia message za samahani kibao sijibu Mimi.
Huyu single Mama ana watoto wawili mmoja mkubwa yuko darasa la 7 Jana yeye hakuwepo akawa amebaki mdogo wa Miaka kama mitatu hivi. Hile nafika Tu mtoto nimemkuta bado ajalala akaanza kuuliza Mama huyu ni Nani?
Mama yake akamjibu uncle kumbuka hapo mama yake akutaka majirani zake wapangaji wenzie wajue mtoto bhana akaanza kulia toka kwetu Kwa sauti kubwa eheeeh! Lia Sana Sana mpaka mama yake ikabidi aseme toka Tu utakuja siku nyingine huyu mtoto ni malaika itakua kaonyeshwa kitu.
Kinyonge nikaanza kuondoka na nauli nimechoma hapa ananitumia message za samahani kibao sijibu Mimi.