Elimu ni haki ya kila mtu, mpe Elimu kesho anaweza kuwa Spika.
Kwa nini msifunge ndoa kwanza ndiyo Aende chuo?
Elimu ni haki ya kila mtu, mpe Elimu kesho anaweza kuwa Spika.
Nifunge ndoa na nani?Kwa nini msifunge ndoa kwanza ndiyo Aende chuo?
Ni kama unatoa mahari kwa njia ya ada. Akienda chuo kurudi kwako sahau
Kumpa mimba siyo suruhisho la kwamba ndiyo huyo mwanamke hata mwacha na kwenda kwa wa imani yake .kama unampenda mpe mimba atulie hapo nyumbani
lasivyo utakuja kulia na kusaga meno
Leo umeniingia rohoni, nami napenda nikuingie.Mlipie mkuu hata akiondoka ni mama wa mtoto hawezi kuja kumtupa mwanae mtasaidiana kwenye malezi
Elewa swali kwanza Comrade.Slimu wewe ili mfunge ndoa na kuepusha mwenzio kuishi na haramu ndani
wewe ndo umeonesha zero coordination kati ya ubongo na mikono yako! wee wa wapi kwanza mbona ka ghost?Elewa swali kwanza Comrade.
Kwanini hakuna contact nzuri Kati ya vidole vyako na ubongo wako?.
Hakuomba huu ushauri unaojaribu kumpa. Pia unaposema (kuepusha kuishi na haramu ndani) fasili yake Ni nini?. Ufafanuzi tafadhali..
#be wise with your comment (s).
Mikoani tena! mi mtoto town.sio lazima abadili ke hata yeye anaweza badili lamsingi upendo ndio utaompeleka shule na sio imani, kama unawaz kukukimbia utapata hasara gani kama nyumba atakuachia, atabeba na ghorofa lake. wanaume wa mikoani aisee hawajuwi hata mahaba.
Mkuu umejuaje kama mtoto wake ni wa kike?msomeshe kwa faida ya mwanao, we ni binadam waweza patwa na majanga (kufa) ukashindwa somesha mwanao ila mama yake ukimuandaa atamsomesha huyo binti.
Siku hizi unanikosha kwa kuwa mkweliNi kama unatoa mahari kwa njia ya ada. Akienda chuo kurudi kwako sahau
Mi namsomesha Genovive tu, mama yake hapanaaaKabla ya yote nikukumbush kuwa asilimia kubwa ya wanawake wanaosomeshwa na wapenz wao huwa wakimaliz masomo na mahusiano hufa,ivyo jiandae kwa yote