mafoleni
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 220
- 372
Habarini wa ndugu,
Mimi ni mwanaume mwenye mke na mtoto mmoja. Tumeishi takribani miaka minne pamoja bila kufunga ndoa kwa sababu ya utofauti wa dini.
Mimi ni mkristo na yeye muislam nimehangaikia sana kuhusu kubadili dini lakini wazazi wake wamekataa katu katu.
Nimeamua tu tuishi hivi hivi japokua sipendi kabisa maana ni kama tunazini na kuendelea kuvunja amri ya sita kwa muda usiojulikana.
Kiukweli nashindwa kumuacha huyu binti kwa sababu tometoka nae mbali sana, tulipanga chumba na sasa tuko kwenye nyumba yetu.
Hoja ya msingi ni hii hapa.
AMENIAMBIA ANATAKA KUSOMA MWAKANI INABIDI NIANDAE ADA""
sasa tatizo linakuja baba yake hapendi kabisa mwanae aishi na mimi, mtoto wake yupo kwangu, akirudi kwao kuja huwa mpaka mizozo yani.
Na chuo anachotaka kusoma kipo huko huko kwao, je si naweza lipa ada halafu akimaliza wakaniachia manyoya! Au nilipe tu jamani. Nahisi naweza somesha mke wa mtu hapa.
USHAURI JAMANI. NILIPE MIZIGO?
Mimi ni mwanaume mwenye mke na mtoto mmoja. Tumeishi takribani miaka minne pamoja bila kufunga ndoa kwa sababu ya utofauti wa dini.
Mimi ni mkristo na yeye muislam nimehangaikia sana kuhusu kubadili dini lakini wazazi wake wamekataa katu katu.
Nimeamua tu tuishi hivi hivi japokua sipendi kabisa maana ni kama tunazini na kuendelea kuvunja amri ya sita kwa muda usiojulikana.
Kiukweli nashindwa kumuacha huyu binti kwa sababu tometoka nae mbali sana, tulipanga chumba na sasa tuko kwenye nyumba yetu.
Hoja ya msingi ni hii hapa.
AMENIAMBIA ANATAKA KUSOMA MWAKANI INABIDI NIANDAE ADA""
sasa tatizo linakuja baba yake hapendi kabisa mwanae aishi na mimi, mtoto wake yupo kwangu, akirudi kwao kuja huwa mpaka mizozo yani.
Na chuo anachotaka kusoma kipo huko huko kwao, je si naweza lipa ada halafu akimaliza wakaniachia manyoya! Au nilipe tu jamani. Nahisi naweza somesha mke wa mtu hapa.
USHAURI JAMANI. NILIPE MIZIGO?