Mama wa miaka 50 ananitaka

Nimekosa kabisa neno zuri la kukuita ila naomba niseme ivi ...AKILI YAKO IMEKOMAA KATIKA KUFIKIRI.... maandiko mengi ni nadharia yakutengeneza hofu ili kupunguza maasi duniani
Maandiko hayajatungwa ili kupunguza uovu ila kilichoandikwA kipo na ndomana wanasema Mungu ni neno ukiielewa kwel hiyo kwel itakuweka huru inamaanisha kwamba ukiilewa katiba ya maisha yani(Biblia) utakua umeielewa kwel na hiyo kwel itakuweka huru kama hujui biblia inaishi na haijawahi kupitwa na wakat na ndomana wanasema utandawazi usikufanye ukahalalisha dhambi kuwa kitu cha kawaida. Jipe mda soma sana biblia hasa agano jipya trust me lazima utabadilika kiroho
 
Basi tuchukue vitabu vya waandishi wetu kama kina shaban robert na wengineo tuviunganishe tutengeneze kitabu chetu kama biblia ili tufate kitabu chetu na sio hicho kilichokuja na majahazi.

Ktk hicho kitabu chetu tukazie na kuonya kwamba ukifanya maovu siku ya mwisho utaenda kuzimu na ukifanya mama utaenda sehem nzuri
 
Siwezi tongoza mwanaume ever.

Miaka 52 huyo ni dogo sana, sema tu wewe huna nguvu za kiume
Ninazo , ila i have nothing to proove to you.

kama wewe una 70 na unaliwa na hawa 20's niwewe ila mimi sitombi wazee.

K u m a imeliwa miaka yote 60 uje unipe mimi
 
Jitathmin muonekano wako inawezekana na wewe una muonekano wa kibabu babu

Sawa na mtoto wa darasa la nne wa like amtongoze mwalimu wake wa kiume bila shaka hata mwl atakuwa anamuoneoano au tabia za kitoto ndio maana mtoto kachagua wa size yake
niko namuonekano wa kijana ila haka kakitambi lbda
 
Acha ujinga.Una miaka kati ya 30 hadi 32 ndiyo umri gani huo.Nchi jirani jina kapuni.Kivipi?Muwe mnatunga sensible issues.
Sasa nimesema nchi jirani , unaumia na wale walio mabele huko,? usa, china, canada

Nauli ya hapo dar kuja huku ni ndogo sana.

Usiwe na hasira na maisha ya watu kiasi hiko

emu relax, weka matako chini ,jipige kifuani alafu sema " mimi ni mjinga"
 
Reactions: pha
@mama D Asante kwa ushauri mzuri , Wapo wanaosema eti sijui hiki na kile lkn naamini ni watu waliona makasiriko mengi . Jf ni sehemu ya msaada , sasa nkaombe wap ushauri?
 
asante boss
 
Anafanana kidogo na yule mama ...ema?
 
Kwanini kwasasa kuna wamama wengi wenye umri mkubwa wanaopenda kupelekewa moto,ina maana wataalamu walitudanganya eti mwanamke akifikisha 45 hamu inapungua
 
usipo mla wewe watamla wengine sasa sibora umalize kona tu umle wewe
 
Mke wa mtu msala, ila kama hana mwenyewe, mlete kwangu niruke nae kijoti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…