Maayo
JF-Expert Member
- Jul 21, 2011
- 317
- 48
Kabila langu ni watulivu sana ukiishi nao hata wewe utapenda. Wapare ni noumer! Huo ndo ukwel hata 'mamaa supika' anajua.acha uongo,tena inaelekea kabila lenu linakiherehere na kimbelembele na ushakunaku juu!!!!!!!!