ni kweli wanawake wakipare ni machachari mnooooo!
wanawake wa kipare hawafugiki
Me mpare ndo nimemuoa kwenye 6x6 ukweli wako vizuri ila wana hasira ukiwauzi japo si wakorofi na ni wakarimu sana tena siyo wabahili/wachoyo kama wanaume wa kipare.
Hii mada nayo ni mchango kwa maendeleo ya Nchi yangu au ni maongez baada ya kukaa sana gizani umeme hakuna ?