Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
Maskiniii Mungu azidi kukuongezea kila unapopungukiwa mkuu.unamoyo wa upendo mno👏👏🙌🙌Umemuuliza maswali mazuri sana, ambayo hata mimi nilijiuliza lakini nikaona kwa kua yupo chuo basi asome amalize elimu yake,
Nimemwambia nitakulink na mtu na huyo mtu niliongea nae jana ile ile, ajabu mwenye tatizo hajanitafuta mpaka sasa,
Sasa sijajua anahitaji msaada gani au alitaka aambiwe weka namba tukuchangie na hapo bado angeona ugumu, fatilia kisheria anasema mambo ya jadi sijui mila na desturi, ni zipi hizo hasemi,
Vijana wa sasa hivi wanachukulia mambo kiwepesi wepesi sana, hawajui penye wengi pana mengi.
Kama kuna kitu sikipendi katika maisha,basi ni konakona aise uwiii...uongo uongo🙆♀️🙆♀️ Siwezi jmni ninakasirika mnoo.
Mleta mada analeta ukakasi kama ndizi mbichi kwenye mambo ya msingi.😏😏