Mama wa kambo kaniharibia kila kitu

Umemuuliza maswali mazuri sana, ambayo hata mimi nilijiuliza lakini nikaona kwa kua yupo chuo basi asome amalize elimu yake,

Nimemwambia nitakulink na mtu na huyo mtu niliongea nae jana ile ile, ajabu mwenye tatizo hajanitafuta mpaka sasa,

Sasa sijajua anahitaji msaada gani au alitaka aambiwe weka namba tukuchangie na hapo bado angeona ugumu, fatilia kisheria anasema mambo ya jadi sijui mila na desturi, ni zipi hizo hasemi,

Vijana wa sasa hivi wanachukulia mambo kiwepesi wepesi sana, hawajui penye wengi pana mengi.
Maskiniii Mungu azidi kukuongezea kila unapopungukiwa mkuu.unamoyo wa upendo mno👏👏🙌🙌

Kama kuna kitu sikipendi katika maisha,basi ni konakona aise uwiii...uongo uongo🙆‍♀️🙆‍♀️ Siwezi jmni ninakasirika mnoo.

Mleta mada analeta ukakasi kama ndizi mbichi kwenye mambo ya msingi.😏😏
 
Mkuu nimeona maswali yako yote na jibu ni kwamba tayari vilikua vimeandishwa chini ya mama wa kambo, kama mtu yuko willing kunisaidia nitamletea yote anayohitaji naku abide maelekezo yake
Kuna huyu Culture Me amesema atakulink na mtu akusaidie,umemtafuta?unataka msaada gani mkuu?acha hiyo habari mwamba.

Kama ungekuja kuomba msaada wa kusomeshwa huku ungeweka taarifa zako za binafsi,za chuo unachosoma na watu wangeridhishwa nazo ungepata msaada 💯 sasa umeingiza habari za mama wa kambo sijui makorokoro gani huko unashindwa kutetea uzi wako .uko JAMII FORUM mkuu sio feisibuku wala snap.
 
Kuna huyu Culture Me amesema atakulink na mtu akusaidie,umemtafuta?unataka msaada gani mkuu?acha hiyo habari mwamba.

Kama ungekuja kuomba msaada wa kusomeshwa huku ungeweka taarifa zako za binafsi,za chuo unachosoma na watu wangeridhishwa nazo ungepata msaada sasa umeingiza habari za mama wa kambo sijui makorokoro gani huko unashindwa kutetea uzi wako .uko JAMII FORUM mkuu sio feisibuku wala snap.
Nimemtafuta mkuu PM
 
Umemuuliza maswali mazuri sana, ambayo hata mimi nilijiuliza lakini nikaona kwa kua yupo chuo basi asome amalize elimu yake,

Nimemwambia nitakulink na mtu na huyo mtu niliongea nae jana ile ile, ajabu mwenye tatizo hajanitafuta mpaka sasa,

Sasa sijajua anahitaji msaada gani au alitaka aambiwe weka namba tukuchangie na hapo bado angeona ugumu, fatilia kisheria anasema mambo ya jadi sijui mila na desturi, ni zipi hizo hasemi,

Vijana wa sasa hivi wanachukulia mambo kiwepesi wepesi sana, hawajui penye wengi pana mengi.
Nimeku PM mkuu
 
We have the same case mkuu. Nimelelewa na mama mlezi since nafuliwa nguo mpaka leo hii nimekua mtu mzima najitegemea. Since Mzee alipovuta mpaka leo sijawahi kudai hata kijiko, although nimefaidika kwa mengi sana kutoka kwa mama ila laiti ningekuwa na pua ndefu kudai mirathi basi hapa nilipo leo ingekuwa ni ndoto kupafikia.
mim tangu primary mpaka chuo nilikuwa nalelewa na mama wa kambo,naomba nikushauri kitu mkuu..wewe mtoto wa kiume acha kulalamika saana mzee dunia hii apo ulipofika pambana upate chako marehemu hufa na chake ata ukipewa hizo mali kama hauna moyo wa kutafuta chako zitakufa zote.pili,baada ya baba kufa kama wewe ndo ulianza kuulizia mali basi jua bi.mkubwa kashakujua wew una tamaa hauna moyo wa undugu fanya jua mali zetu zipo ila ondoa swala la kuonyesha kutaka kugawana endelea na maisha mengine.mm nilikuaga sielewani nae kabisa nikiwa na mawazo kama yako nikitaka tugawane nyumba ziizopo na mali zingine ila nikashauliwa na mwanaume mmoja..sasa hivi bi mkubwa ata akisikia mwanangu anaumwa anakuja faster kumchek na maisha yanasonga kama mtu na mwanae mzazi
 
Mkuu Path Creator hutakiwi kurudia kila comment yako habari ya mama wa kambo,mwandiko wako unanionyesha kuwa unajificha kwenye mwavuli wa mama wa kambo sana.

1.mam yako wa kambo aliwezaje kujimilikisha mali bila kikao cha familia au hata wazee wa ukoo

2. Unasema baba yako aliwekeza kwenye elimu sana,sio,ni elimu ipi aliyoiwekeza

3. Wewe ni mtoto halali wa marehemu huyo baba

4. Unasema kuwa mama yako alianza kukubadilikia baada ya kuanza kuhangaikia mirathi sio!uliangaikia kwa namna ipi

5.kuna mkuu fulani hapo juu amejaribu kukuvuta akusaidie lakini kulingana na unavyocomment huonyeshi ushirikiano ipasavyo kwanini

6. Mpka umefikia hatua ya kwenda chuo maana umeshavuka umri wa kuwa mtoto,kwanini baba yako hakukupatia japo urithi ikiwa wewe ni mwanae?

7. Kama baba aliwekeza kwenye elimu,kwenye Bank ac kuna shilingi ngapi ya kuweza kukuendeleza kielimu

8. Ina maana kwenye ukoo wenu marehemu alikuwa hapatani na ukoo mzima kisa kupenda kwake elimu

9.kwahiyo nyie mlikuwa hamna japo ndugu mmoja ambae alikuwa anawatembelea na nyie mnamtembelea

Natamani kutichape bakora kidogo kustua akili yako itoke huko ilipomaana unatoa majibu mepesi kwenye maswali magumu.

JF ni kubwa hii na inawatu wakubwa wengi ila huwezi kuwajua wengine kwa ajili ya fake idz.ondoa ukakasi katika mwandiko wako upate msaada kijana.sentensi zako zinapwaya sana.

Pole kama mwandiko wangu hauonyeshi yale uyategemeayo.jibu maswali niliyokuuliza tafadhali.

Poleni kwa gazeti na kutokupangilia vizuri maswali

1.Alikua tayari kammilikisha mama wa kambo
2.Alijitahidi sana watoto wake kutupa Elimu bora na kipindi naanza chuo alikua tayari ashaanza sumbuliwa na Cancer
3.Ndio
4.Nilikua nikifatilia kujua kwa ukaribu mambo aliyoacha mzee nakujua mengi yalikua chini mama huyo tayari
5.Hapana mkuu sio kwamba sionyeshi ushirikiano, najaribu kujibu kila mtu ili alidhike na mkuu nilikua sijaona ujumbe wake mpaka nilivoona mara ya pili ndio nikamfuata PM
6.Ilo swali namimi mkuu linaniumiza
7.Alikua anadaiwa nakupelekea mali kua malipo ushahidi akiwa nao mama wa kambo
8.Hapana sio wote
9.Wapo ndugu ilifikia muda kila mmoja akawa yuko busy na yakwake nasiku zote uwezo unatofautiana
 
1.Alikua tayari kammilikisha mama wa kambo
2.Alijitahidi sana watoto wake kutupa Elimu bora na kipindi naanza chuo alikua tayari ashaanza sumbuliwa na Cancer
3.Ndio
4.Nilikua nikifatilia kujua kwa ukaribu mambo aliyoacha mzee nakujua mengi yalikua chini mama huyo tayari
5.Hapana mkuu sio kwamba sionyeshi ushirikiano, najaribu kujibu kila mtu ili alidhike na mkuu nilikua sijaona ujumbe wake mpaka nilivoona mara ya pili ndio nikamfuata PM
6.Ilo swali namimi mkuu linaniumiza
7.Alikua anadaiwa nakupelekea mali kua malipo ushahidi akiwa nao mama wa kambo
8.Hapana sio wote
9.Wapo ndugu ilifikia muda kila mmoja akawa yuko busy na yakwake nasiku zote uwezo unatofautiana
Lengo lako kuja hapa ni kutaka msaada wa aina gani hasa?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Nimeku PM mkuu
Message yako nimeiona,
Lakini nasikitika kusema kua nimeshindwa kukusaidia, naandika hapa hadharani ili kila mmoja aone isije ikatokea siku za usoni ikaonekana otherwise (yalishatokea kwa baadhi ya watu)

Una attitude flani hivi ambayo kama ni kweli kuhusu mama wa kambo kukataa kukusomesha na blah blah zingine basi alikua ana haki lakini nikwambie tu BADILIKA,

Umeniuliza kama mimi ni Dada, Mama, Shangazi, Bibi lol, popote utakaponiweka nafit, ila miaka 30 bado sijafika.

Kila la kheir watakuja wengine kutoa msaada, usivunjike moyo.
 
Message yako nimeiona,
Lakini nasikitika kusema kua nimeshindwa kukusaidia, naandika hapa hadharani ili kila mmoja aone isije ikatokea siku za usoni ikaonekana otherwise (yalishatokea kwa baadhi ya watu)

Una attitude flani hivi ambayo kama ni kweli kuhusu mama wa kambo kukataa kukusomesha na blah blah zingine basi alikua ana haki lakini nikwambie tu BADILIKA,

Umeniuliza kama mimi ni Dada, Mama, Shangazi, Bibi lol, popote utakaponiweka nafit, ila miaka 30 bado sijafika.

Kila la kheir watakuja wengine kutoa msaada, usivunjike moyo.
Hapana mkuu kutokana na Majina muda mwingine nashindwa elewa ni jinsia gani ila kama ilo limekukwaza nisamehe
 
unapaswa kutafuta msaada wa Kisheria katika hilo. Kama Hujui pa Kuanzia Nenda Mahakamani Moja Kwa Moja na Utapata Msaada Bila shaka.
JIPE MOYO MKUU, USIKUBALI HUYO MWANAMKE AKUFANYE ANAVYOTAKA YEYE, nasema MWANAMKE kwa sababu laiti angelikua Mama kwako asingefanya Upumbavu anaofanya. Kwanza hapa nilipo Hasira Zishanipanda juu yake, Ningekua Sipo bize ingebidi nije Tuungane Ili Ashughuliwe vizuri.

Tafuta Msaada wa Kisheria, Ikibidi unaweza Ku'postpone chuo kwa sasa ili swala hili liishe Kikamilifu, UpateHaki yako na huyo Mwanamke apate anachostahili. USIWE MZEMBE, PAMBANA MPAKA MWISHO yaani Pambana hadi aelewe kwamba hii ni nchi huru na sio nchi ya watumwa.

if i were you, i'd show her..!
 
Habari za humu wa JF,

Mimi ni kijana umri 24 naishi Dar es salaam. Nilikua na baba ambaye alikua yupo katika mahusiano na mama mwingine (wakambo), kwa muda alianza sumbuliwa na cancer mpaka badae ini likawa infected na mwaka jana kwa bahati mbaya baba akanitoka nikiwa bado nasoma chuo, nakumbuka nilipigiwa simu nakupewa taarifa yakua kanitoka.

Nilipigwa na buutwa nakuchukua masalia yangu ya pesa nakukata ticket ili niwahi kumuona baba hata kwa mara ya mwisho. Nilifanikiwa kufika salama na mambo yote yakaenda salama japo moyoni nikiwaza baba kaniacha nani atakua msaada na chuo sijamaliza nikiangalia kodi pia nadaiwa mawazo mengi sana kichwani!!!

Familia yangu ilikua tofauti na za ndugu zangu kidogo kwakua Late baba aliwekeza sana katika elimu na ukiangalia ba mdogo na ndugu wakaribu walikua hawana support yoyote ile.

Baada ya mambo yote kuisha kuna baadhi ya mali ziliingia katika mkono wa mama wa kambo na alivokutana namimi akaona kama nafatilia akawa mkali na kuacha kabisa kunisaidia hata pesa za matumizi ambayo alikua awali ananisaidia, nimerudi nikitegemea ataweza nisaidia au ndugu jamaa na marafiki ila mambo yamegeuka na amesema hawezi japo uwezo anao wakufanya ivo.

Nipo katika kipindi ambacho sijui nini lakufanya vyuo vimefunguliwa ada sina pakukaa sina kodi iliisha yaani naona mambo yameniharibikia kabisa na ndugu ndio walishanitenga sijui nifanye nini kwakweli nilichokua naweza nikua smart katika masomo yangu nanilipanga mambo mengi sana.

Naandika haya sipo sawa nimekaa namachozi yananilenga mtoto wa kiume sijui nifanye nini naona hakuna msaada I wish ningepata mtu wa karibu ambaye ange act kama baba, ndugu zangu hii hali inaumiza sana i wish ningepata msaada wowote.
Kafungue kesi ya mirathi kila mtu atapata haki yake
 
Message yako nimeiona,
Lakini nasikitika kusema kua nimeshindwa kukusaidia, naandika hapa hadharani ili kila mmoja aone isije ikatokea siku za usoni ikaonekana otherwise (yalishatokea kwa baadhi ya watu)

Una attitude flani hivi ambayo kama ni kweli kuhusu mama wa kambo kukataa kukusomesha na blah blah zingine basi alikua ana haki lakini nikwambie tu BADILIKA,

Umeniuliza kama mimi ni Dada, Mama, Shangazi, Bibi lol, popote utakaponiweka nafit, ila miaka 30 bado sijafika.

Kila la kheir watakuja wengine kutoa msaada, usivunjike moyo.
😳😳😳😅😅😅😅alikuwa anataka kukudanga nini?🤣🤣🤣mbno kama kaulizs maswali mengi ya kipuuzi kama ni kweli kakuuliza hayo maswali jamani😅😅😅kha kijana huyo kijana anamambo aise
 
Hapana mkuu kutokana na Majina muda mwingine nashindwa elewa ni jinsia gani ila kama ilo limekukwaza nisamehe

Jinsia yake ingekusaidia nini katika swala la msaada wa miradhi.

Hata kama anajinsia zote kwa pamoja hupaswi kuuliza maswali ya kipuuzi namna hiyo.

Next time pangilia maneno ya kuongea na watu wazima👎👎👎👎
 
Kisheria wewe na yeye ndio wasimamizi wa mirathi, incase hakupata watoto na huyo mwanamke upo mkoa gani? nenda kwenye zile NGOs zinazotoa msaada wa kisheria.
 
Jinsia yake ingekusaidia nini katika swala la msaada wa miradhi.

Hata kama anajinsia zote kwa pamoja hupaswi kuuliza maswali ya kipuuzi namna hiyo.

Next time pangilia maneno ya kuongea na watu wazima
Hahaha my dear nimebaki mdomo wazi kama kaka yangu Ushimen,
Siku hizi jinsia ya mtu inatambuliwa kwa kuulizwa "sijui wewe ni Dada, Mama, Aunt au Bibi", lol

Huko juu alikujibu comment yangu hakuiona amesahau kua alinijibu yupo Dar,

Hapa anasema aliniita hivyo sababu hakujua jinsia yangu kulingana na jina, LMAO,

Ndio maana nikamtakia kheir apate wa kumsaidia lakini pia abadilishe attitude kama kweli ana shida hizo alizozisema.
 
Hahaha my dear nimebaki mdomo wazi kama kaka yangu Ushimen,
Siku hizi jinsia ya mtu inatambuliwa kwa kuulizwa "sijui wewe ni Dada, Mama, Aunt au Bibi", lol

Huko juu alikujibu comment yangu hakuiona amesahau kua alinijibu yupo Dar,

Hapa anasema aliniita hivyo sababu hakujua jinsia yangu kulingana na jina, LMAO,

Ndio maana nikamtakia kheir apate wa kumsaidia lakini pia abadilishe attitude kama kweli ana shida hizo alizozisema.
😅😅😅 ungemwambia “mimi ni shemale”😅😅😅hana shida huyo wala hajitambui nini anataka.na kwanza alikuwa haishi na mama wa kambo vizuri ninahi.

Pole sana my dear..ila nime😅😅😅jamni.
 
ungemwambia “mimi ni shemale”hana shida huyo wala hajitambui nini anataka.na kwanza alikuwa haishi na mama wa kambo vizuri ninahi.

Pole sana my dear..ila nimejamni.
Acha tucheke tu dear maana dunia ina mambo na vijambo,

Me sijamjibu meseji yake, nimemjibu huku ili kufupisha mambo.
 
Back
Top Bottom