Mama Terry yuko wapi?

Wa TZ bana, wengi waliondokea kuhadaika nae sana na maushauri yake, hakuwa mtaalamu wala nn, mambo ya uzoefu tu, na that time ilikuwa mtu kuonekana runingani hata ukiongea upupu unaonekana unajua sana!

Mkubwa wangu!! Si ndiyo hii imenichafua roho kbs! Na ujuwe wakati ule akidanganya UMMA Mi nilikuwa bado nilikuwa cjaangukia matandaoni sasa ndiyo wakati wenyewe wa kumjaji na ningependa hata nikasimame naye kwa NGOSO! Haiwezekani awahadae Watanzania kivile halafu ananyamaziwa,Kweli NAFSI yangu inaguswa sana kusema naye nipate matamshi yake! Mwenye contact yake asisite kunirushia wajamen!
 
Wa TZ bana, wengi waliondokea kuhadaika nae sana na maushauri yake, hakuwa mtaalamu wala nn, mambo ya uzoefu tu, na that time ilikuwa mtu kuonekana runingani hata ukiongea upupu unaonekana unajua sana!

vipi babu wa loliondo mtamtafuta?
 
Mama Terry ndani ya Clouds FM, pole mama kwa kufiwa na mume wako huko Nigeria. Nakupongeaza ulipokuwa huko hukubweteka, uliendelea kuelimisha jamii huko Delta State Nigeria. Mama Terry ni mfano wa kuigwa. Karibu nyumbani mama.
 
we katavi umekuwa kipindi gani mama tery maarufu sana haswa ka vijana wa 2000's hadi kwenye nyimbo wamemuimba.(john walker) alikuwa anaelimisha jamii kuhusu masuala ya afya ya jamii hususan ukimi na magonjwa yanayoambukiza japo hadi leo sjafahamu ana elimu kiasi gani katika masuala ya afya ya jamii ila alikuwa kipindii hicho radio one docta kila jumatatu pale radio one sterio jamii ila al
 
we katavi umekuwa kipindi gani mama tery maarufu sana haswa ka vijana wa 2000's hadi kwenye nyimbo wamemuimba.(john walker) alikuwa anaelimisha jamii kuhusu masuala ya afya ya jamii hususan ukimi na magonjwa yanayoambukiza japo hadi leo sjafahamu ana elimu kiasi gani katika masuala ya afya ya jamii ila alikuwa kipindii hicho radio one docta kila jumatatu pale radio one sterio jamii ila al
 
Ndio nani huyo...


Kwa kumbukumbu yangu ya haraka haraka baada ya kusikia jina hili nikajua ni yule aliyekuwaga anawapumbaza wanainchi ktk kusema anaelimisha ktk vipindi fulani miaka 2006 ndio mara ya mwisho kumsikia akilonga ndani ya studio ya Radio One bila ya kukosea!
 
Pole mama Terry kwa kufiwa na mumewe ingawa huwa nakuona kama akina Rwakatare (matapeli) kwa vile huwezi kueleza ulivyopata hiyo "elimu" yako ambayo hutumia kugangia njaa. Anyway hiyo ni Bongo ya wachakachauaji.
 
Kwa kumbukumbu yangu ya haraka haraka baada ya kusikia jina hili nikajua ni yule aliyekuwaga anawapumbaza wanainchi ktk kusema anaelimisha ktk vipindi fulani miaka 2006 ndio mara ya mwisho kumsikia akilonga ndani ya studio ya Radio One bila ya kukosea!

Okay...kumbe ni yule aliyekuwa anatoa elimu Radio One, nimemkumbuka.
 
Huyu mama alikuwa na dawa zake za ajabu ajabu sana.....Hana Tofauti na Ndodi!!
 
Mama Terry ndani ya Clouds FM, pole mama kwa kufiwa na mume wako huko Nigeria. Nakupongeaza ulipokuwa huko hukubweteka, uliendelea kuelimisha jamii huko Delta State Nigeria. Mama Terry ni mfano wa kuigwa. Karibu nyumbani mama.
amerudi kufanya nini?
 
Huyu mama alikuwa na dawa zake za ajabu ajabu sana.....Hana Tofauti na Ndodi!!

Alitumia fursa iliyopo baada ya kusoma mazingira, nchi yetu tambarare unaweza january 2012 ukaingia na salio la alfu hamsini lakini January 2013 ukawa na milion 50 kama ukianzisha kitu na kikapata promotion ya kutosha kwa kuwa wengi wetu tunategemea njia ya mdomo kama source of information (oral tradition) badala ya kuchanganya zote na ya kupitia maandiko na ndio maana akitokea mjanja mmoja anawapeleka watu alafu baadae wanashituka amekula hela ametambaa. Ndodi umaarufu ulipotea kipindi cha babu wa Loliondo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom