Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,303
Kilichopelekea mpaka baraza la mawaziri kuvunjwa na kuundwa jipya ni nani kama si wapinzani??? CCM ni bendera fuata upepo! Alichoonyesha muheshimiwa Shelukindo ndio demokrasia ya ukweli na sio ile ya wabunge wa CCM kila hoja inayotolewa na wapinzani kwao hawaitaki halafu saa ya mwisho yule bibi akishaanza kusema wanaounga hoja? CCM ndioooooooooo!!! Shame on you MAKUPA!