Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
Mh. Beatrice Shellukindo amepelekwa Bungeni na wananchi wa Kilindi na siyo CCM. Waliopelekwa Bungeni na CCM ni kama Zakhia Meghi, James Mbatia, Easter Bulaya, Wanawake na Maendeleo (jina limenitika) na wengineo
Ha ha ha,eti wanawake na maendeleo! Anaitwa ViCky Kamata!