Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Taasisi ya Mama Samia Support, inazidi Kusongesha Gurudumu la Rais Samia Kwa Kauli Mbiu ya ’Kazi Na Utu, Tunasonga Mbele’
Taasisi Hii Leo May 29, 2025 wamefanya Maandamano ya amani yenye Lengo la Kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Baadhi ya wadau kutoka taasisi hio wameelezea Maoni hayo juu ya Uongozi wa Rais Samia na Yale yote aliyoyafanya tokea aingie Madarakani na Kuongezea Kua Wapo Nae Bega Kwa Bega kumsaidia Yale Yote Anayopanga Kufanya Katika ilani ya Chama Chao.
Taasisi Hii Leo May 29, 2025 wamefanya Maandamano ya amani yenye Lengo la Kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Baadhi ya wadau kutoka taasisi hio wameelezea Maoni hayo juu ya Uongozi wa Rais Samia na Yale yote aliyoyafanya tokea aingie Madarakani na Kuongezea Kua Wapo Nae Bega Kwa Bega kumsaidia Yale Yote Anayopanga Kufanya Katika ilani ya Chama Chao.