Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,474
- 7,412
Weke ibara inayosema hivyo.Inatakiwa iwe baada ya masaa 24 tangu tangazo lá kifo. Amri Jeshi mkuu ndio huongoza mazishi ya aliyekuwa Amri Jeshi mkuu.
Kila wakati anatakiwa kuwa mmoja tuu. Kesho tunaweza kuwa na Rais Mpya.