Kivipi?Duh... Zanzibar hakika wamejua kutufunza adabu.
Kuepusha "power vacuum" shughuli tayari imefanywa na haihitaji stage kwa sasa.Ni baada ya muda gani ndo makamu wa Rais anaapishwa kuwa Rais baada ya Rais aliyepo madarakani kufa au kujiuzuru?
Mama Samia bado ni makamu wa Rais kwa sasa au keshakaimu urais tayari?
Kama ameshakaimu urais, rasmi anatambulikaje? Kaimu Rais hadi pale atakapoapishwa rasmi au?
Maswali ni mengi mno!
Ibara ya ngapi mkuuNdani ya siku saba kwa mujibu wa katiba.
Na ingependeza zaidi iwe kabla ya kuzikwa Marehemu nchi haipaswi kukaa bila Mkuu wa nchi na amiri Jeshi mkuu kwa muda mrefu hata wa siku hizo saba.
Mind you hii ni tofauti na pale tunapokuwa tumetoka kwenye uchaguzi, Tunapotoka kwenye General election tunakuwa tunae Rais na wanabadilishana wakati wa kuapishwa lakini kwasasa ni kwamba kiti kipo wazi that is too bad.
Ww ndo utakuwa rais au hii nchi ya baba ako falaa wwHata kama moderator mumefuta replay yangu nachojaribu ni kuwambia watu kwamba Tundu hatokuja kuwa raisi hata baada ya 2025 kosa langu liko wapi hapo ?
Sijatukana mtu ila natoa taarifa tuu
Ndio hata kuja kuwa raisi mfahamu hilo
Kwani Katiba inasemaje? Anatakiwa kuapishwa bada ya Mazishi au?Kwani wewe humjui Tundu ?
Acha kumaanisha matusi mkuu
Nimesema sababu Kuna watu ndilo wanalotegema hilo
Anaapishwa baada ya taratibu za mazishi kuisha siunajua huu msiba ni mkubwa watu weng wakubwa wataudhuria hivyo itachukua mda kidgo
Kwani Katiba inasemaje? Anatakiwa aapishwe bada ya mazishi au kabla? Lakini ki-utaratibu ilitakiwa aapishwe kabla ya mazishi ili kumfanya a-discharge majukumu kama Rais ipasavyo ukizingatia kuwa atakuwa na ugeni mkubwa wa ma-Rais.Kwani wewe humjui Tundu ?
Acha kumaanisha matusi mkuu
Nimesema sababu Kuna watu ndilo wanalotegema hilo
Anaapishwa baada ya taratibu za mazishi kuisha siunajua huu msiba ni mkubwa watu weng wakubwa wataudhuria hivyo itachukua mda kidgo
Hvi hamjifunzi tu? Mnajiona mna hati miliki ya hii nchi na kwamba mna haki sana kuliko wengine?Hata kama moderator mumefuta replay yangu nachojaribu ni kuwambia watu kwamba Tundu hatokuja kuwa raisi hata baada ya 2025 kosa langu liko wapi hapo ?
Sijatukana mtu ila natoa taarifa tuu
Ndio hata kuja kuwa raisi mfahamu hilo
Kwa mujibu wa Kigogo ni tarhe 25. Sijui kama ni kweli. Ila Samia kuapishwa itakuwa ni tukio dogo la watu muhimu, lisilo na shangwe ma popote wanapoona panafaa.
Soma tena nilivyoandika: Kwa mujibu wa Kigogo ni tarhe 25. Sijui kama ni kweli. Ila Samia kuapishwa itakuwa ni tukio dogo la watu muhimu, lisilo na shangwe ma popote wanapoona panafaa.Hata gereji?
Ni baada ya muda gani ndo makamu wa Rais anaapishwa kuwa Rais baada ya Rais aliyepo madarakani kufa au kujiuzuru?
Mama Samia bado ni makamu wa Rais kwa sasa au keshakaimu Urais tayari?
Kama ameshakaimu Urais, rasmi anatambulikaje? Kaimu Rais hadi pale atakapoapishwa rasmi au?
Maswali ni mengi mno!
Ficha upumbavu wako,kama mlivyoficha habari za Ugonjwa wa Magu.Kwani wewe humjui Tundu ?
Acha kumaanisha matusi mkuu
Nimesema sababu Kuna watu ndilo wanalotegema hilo
Anaapishwa baada ya taratibu za mazishi kuisha siunajua huu msiba ni mkubwa watu weng wakubwa wataudhuria hivyo itachukua mda kidgo
Anaapishwa kesho saa 4 asubuhi Ikulu ya Dar es salaam.Kwani wewe humjui Tundu ?
Acha kumaanisha matusi mkuu
Nimesema sababu Kuna watu ndilo wanalotegema hilo
Anaapishwa baada ya taratibu za mazishi kuisha siunajua huu msiba ni mkubwa watu weng wakubwa wataudhuria hivyo itachukua mda kidgo
Siyo baada ya siku 7, ni ndani ya kipindi kisichozidi siku 7.Si wamesema baada ya siku saba na tayari speaker kisha waita Wabunge waende Dodoma na kesho kutwa CCM wanakaa na kuchagua jina la makamu ...
KeshoNi baada ya muda gani ndo makamu wa Rais anaapishwa kuwa Rais baada ya Rais aliyepo madarakani kufa au kujiuzuru?
Mama Samia bado ni makamu wa Rais kwa sasa au keshakaimu Urais tayari?
Kama ameshakaimu Urais, rasmi anatambulikaje? Kaimu Rais hadi pale atakapoapishwa rasmi au?
Maswali ni mengi mno!
Hata kama moderator mumefuta replay yangu nachojaribu ni kuwambia watu kwamba Tundu hatokuja kuwa raisi hata baada ya 2025 kosa langu liko wapi hapo ?
Sijatukana mtu ila natoa taarifa tuu
Ndio hata kuja kuwa raisi mfahamu hilo