Naweza sema hapana lakini ame aminisha kwa tarifa zake mfano mdogo Leo MTU aku tamkie jambo alafu liwe zaidi ya Mara 3 trust me lazima umpe uwaminifu tu nasimanish aminike kigogo nop ila achachue tu siasa wanao pendaHahahaaa! Eti kwa mujibu wa Kigogo.
Yaani Kigogo sasa hivi ndo kawa chanzo cha kuaminika cha habari!


