Mama Samia Suluhu anaapishwa lini?

Mama Samia Suluhu anaapishwa lini?

Hata kama moderator mumefuta replay yangu nachojaribu ni kuwambia watu kwamba Tundu hatokuja kuwa raisi hata baada ya 2025 kosa langu liko wapi hapo ?
Sijatukana mtu ila natoa taarifa tuu
Ndio hata kuja kuwa raisi mfahamu hilo

Sasa Tundu anaingiaje hapo? Kijana umepaniki sana, jiandae kuishi bila mbeleko ya marehemu
 
Kwani wewe humjui Tundu ?
Acha kumaanisha matusi mkuu
Nimesema sababu Kuna watu ndilo wanalotegema hilo

Anaapishwa baada ya taratibu za mazishi kuisha siunajua huu msiba ni mkubwa watu weng wakubwa wataudhuria hivyo itachukua mda kidgo
Ukiskia bush lawyer au bush layer ndohivi sasa!! Saingine sema sijui hahahahaaaa ndomana hata humwelewagi Wakili msomi Lissu.
 
Ameapishwa, amekagua kikosi cha jeshi kama Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hotuba yake ya kwanza akiwa Rais na ataongoza kikao cha baraza la mawaziri akiwa Rais.
255719451955_status_9534388438344666bb6bc595a3b41f0b.jpg
msemajimkuuwaserikali-20210319-0001.jpg


Sent from my N20 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom