The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
Jaman zambiHuyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.
Wanadharau sbb ya kushika shika pesa ambazo sio zao!Hahahahaa hasa hawa wa bank wanadharau kishenzi
Aisee, wale walioenda beijing sijui wako wapi?Haijalishi anafanya kweli au hafanyi, madam kasema anafanya na jambo jema na la heshima wanawake tuige.
Ulitaka afanye nini cha kipekeeHuyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.
Acha chuki binafsi ulitaka akugawie mshahara wake? Mama huyu amefanya kaxi kuliko makamu wote wa rais waliomtangulia. Ametembelea mikoa yote na amesafiri sana kumwakilisha rais na nchi yetu ktk mikutano yote ya kimataifa.Huyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.