Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Ulotaka afanye nini? Maana huenda hata hujui wajibu wa makamu wa raisHuyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.
Ulotaka afanye nini? Maana huenda hata hujui wajibu wa makamu wa raisHuyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.
Huyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.
We ulitaka afanyaje uone kafanya au unatambua shughuli zakeHuyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.
Hawa wadada wa benk walisababisha nitumie muda wangu kubain mshahara yao,,,, nikiduchuuuu tofautii na wanavyoishi na watumishi wengine,,,, tangu siku hiyo,,, kila nkiwa benk lazma niwaoneshe dharauHahahahaa hasa hawa wa bank wanadharau kishenzi
Vingi tu.
Hamna kitu hapo.Huyo Mama ni full busara....ameiva sana!! Anandaliwa..........makubwa zaidi mbelenii
Unataka akuletee unga nyumbani kwako au kwenu? Pambana tu mkuu.Huyu naye hana cha maana alichokifanya tangu awe makamu wa rais.
Haijalishi anafanya kweli au hafanyi, madam kasema anafanya na jambo jema na la heshima wanawake tuige...lakini anafanya hivyo kweli au anapiga fiksi tu
Mchukue DK shein enzi zake za umakamo umlinganishe na huyu nafikiri utapata jibu.