ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,718
- 28,274
Na ww pia umeingizwa chaka aisee!!Tulisema ikishusha mmoja wale top three,akili itawakaa tu.
nikajuaga upogo on point......!!!??
kumbe na ww unabumba bumba
Na ww pia umeingizwa chaka aisee!!Tulisema ikishusha mmoja wale top three,akili itawakaa tu.
Mama yuko nchi za watu boy, wanakofuata vilivyo kanuni za shirika la afya dunian, pembeni hapo ni prezdaa nadhan wa south so hapo sio bongoMambo yamebadilika ghafla!
View attachment 1728775
Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata
Baada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata
kwahiyo unadhani alikusikiliza wewe??Watanzania bana 😂 😂 Hiyo picha ya mwaka jana.Wanadunda bila barakoa,hujaona msibani?Jembe kaacha legacyBaada ya mimi jana kuuliza kwa nini hajavaa kumbe ujumbe kaupata