Ssi tunaochukia uovu na kupebda haki, tunaomba umwondoe Bashite mbele ya macho ya wapenda haki, mpeleke huko wanakoishi wauaji na wadhulumaji wa haki za raia, kabla hujajipakaza na laana yake maana anayeshikamana na muuaji huku akijua kuwa huyu ni muuajj, huibeba laana sawa na muuaji mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.