Mama Samia jana Umedhalilika huko Morocco, na bado

Timu zikishinda sifa huwa kwa Samia kwahiyo matokeo ya jana ni mali ya Samia Suluhu Hassan.

Jana amepigwa viwili.
Kufungwa sio kudhalilika,tena tumefungwa na timu kubwa,ingekuwa tumefungwa na somalia au haiti,hapo ndio ungesema kudhalilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…