Mama Salma Kikwete's Facebook and Twitter accounts hacked?

Hapana Mkuu. This is not her unless something extraordinary happened in the last few minutes. Hata ile thread ya "SAFARI za rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005!" nae kapost kule? Hii nayo inasifu Chadema? Mbaya ni kwamba jamaa anakopi links za humu JF na kupost kwenye account. Huyo mtu ataishia kukopi mpaka thread za jukwaa la wakubwa na kuwe kwenye account yake. Noma for JF.

Huyo ni mwenyewe anaonekana anaipenda Chadema toka siku nyingi, na ana haki ya kukipenda Chama chochote cha siasa labda kama Katiba hairuhusu Mke wa Rais kuwa Chama tofauti mtueleze ni kifungu kipi nadani ya Katiba. Kama sio yeye anatakiwa yeye mwenyewe aseme sio mtu mwingine yeyote, wala sio Ikulu hayo ni mambo yake binafsi.
 
Issue sio kama yeye anajua au hajui kutumia keyboard. Issue ni kuwa accounts zake mbili zimekuwa hacked. Yaani yeye kweli anapost hii? President Jakaya M. Kikwete MUST Resign | Facebook. Wataalam wa hili jukwaa will tell you that her accounts have been hacked. Hata kama ni yeye lakini Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ikitoa tamko kuwa siye yeye utawaamini?

Sasa kama yeye amekaa kimyaa na Kurugenzi ya Mawasiliano nao wamekaa kimyaa na kitengo cha IT nao wamekaa kimyaa inamaana gani?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Na kwa nn kila siku akaunti zao zinakuwa hacked!?? Ina maana hawako makini au watu wa IT huko ikulu wanahusika na haya! Maana last time walihack ya Salva now ni first lady, then tutaona madudu ya mkulu mwenyewe!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ukiacha au ukipunguza JF si ita-bore?

Naamini ni bora kuuliza masuali kuliko kutoa majibu, kwa sababu kunamsaidia muulizwa kufikiri :]

Kwa hiyo ili JF isi-bore ..........acha tuendelee nayo



Kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kinafanya kazi gani?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
kuna page ilikuwa created..akatumiwa kwenye akaunt yake...page ile ilimtaka aweke user name na password ili aweze kuona kilichomo..yeye akaweka user name na password na hapo hapo credentials hizi zikaenda kwa hacker....na hivyo kupata access ya fb yake
 
Sasa kama yeye amekaa kimyaa na Kurugenzi ya Mawasiliano nao wamekaa kimyaa na kitengo cha IT nao wamekaa kimyaa inamaana gani?

Ina maana hakuna cha ajabu, na kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake ili mradi havunji sheria, hayo ni mawazo yake mwenyewe, sio hacker kama mnavyofikiri. Nawashangaa sana kwanini hamkubali kwamba inawezekana kabisa.
 
kumbe wee EMT akili zako kama za mtoto,acha waendelee kufanya watakavyo,inakuhusu nini wewe
 
Naamini ni bora kuuliza masuali kuliko kutoa majibu, kwa sababu kunamsaidia muulizwa kufikiri :]

Kwa hiyo ili JF isi-bore ..........acha tuendelee nayo




Kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kinafanya kazi gani?

Kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kinafanya kazi za mawasiliano ya Ikulu sio kazi binafsi za personal facebook & twitter za watu eti kwa vile wako Ikulu siyo hivyo. Mama ana laptop yake na inawezekana haruhusiwi mtu kuishika labda mwanae au ikiwa mbovu. Kwa hiyo account ya Mama Kikwete ya facebook haina tofauti na ya mtu mwingine yeyote na anaweza kuifungua kwenye computer yenye internet mahali popote. Kwa hiyo msiwahusishe wafanyakazi wa IT Ikulu na matatizo au uzembe binafsi wa mtu.
 
Kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kinafanya kazi za mawasiliano ya Ikulu sio kazi binafsi za personal facebook & twitter za watu eti kwa vile wako Ikulu siyo hivyo. Mama ana laptop yake na inawezekana haruhusiwi mtu kuishika labda mwanae au ikiwa mbovu. Kwa hiyo account ya Mama Kikwete ya facebook haina tofauti na ya mtu mwingine yeyote na anaweza kuifungua kwenye computer yenye internet mahali popote. Kwa hiyo msiwahusishe wafanyakazi wa IT Ikulu na matatizo au uzembe binafsi wa mtu.

Hapo ndipo unapokosea. Kitengo cha mawasiliano kinatakiwa kudhibiti mawasiliano yote kwa umma ya Rais na First lady wake.
 
Halafu how come anatumia password moja kwenye accounts zote mbili?
Yaani mkuu inaonekana ajila ya Slva Rweyemamu unaitamani kwa udi na uvumba, kwa ufupi nakushauri usiangaike kabisa kuhusu swala hilo, kama wana uwezo wa kuwalipa vijana wanaokesha hapa JF kuvuruga mijadala ya maana ni kwa nini wasiajili vijana wengine kama hao kwa ajili ya kufuatilia vitu mitandaoni?
 
Naamini ni bora kuuliza masuali kuliko kutoa majibu, kwa sababu kunamsaidia muulizwa kufikiri :]

Kwa hiyo ili JF isi-bore ..........acha tuendelee nayo



Kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kinafanya kazi gani?

Kitengo cha mawasiliano Ikulu kinafanya kazi za mawasiliano ya Ikulu kwa ujumla na sio mawasiliano binafsi ya mtu kama facebook & twitter account za watu eti kwa vile wako Ikulu. Mtakuwa mnakosea kuwahukumu wafanyakazi wa IT wa Ikulu kwa kazi au uzembe binafsi wa mtu kwa vile yuko Ikulu. Ina maana kila Wizara account binafsi ya Waziri ikiwa hacked, wafanyakazi wa IT wa Wizara walaumiwe je kwa wafanyakazi wengine ambao wapo kwenye hiyo wizara kama ni account zao binafsi inakuwaje?
 
Kama hizo accounts zote zipo open to the public na hata mada za hapa JF nyingi ni open to the public, ni vipi JF inaweza kuwa held responsible? (Kwa nini unadhani ni 'noma for JF'?).

Mkuu accounts kuwa open to the public haina maana kuwa any member of the public can log in the accounts and make postings. Account yako hapa JF iko open to the public? Can any member of the public log in your JF account start threads or post on other threads? Wapi nimesema JF inaweza kuwa held responsible? Yaani kusema for noma for JF ndio umetafsiri kuwa it can be held responsible?
 
Naamini ni bora kuuliza masuali kuliko kutoa majibu, kwa sababu kunamsaidia muulizwa kufikiri :]

Kwa hiyo ili JF isi-bore ..........acha tuendelee nayo
Kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kinafanya kazi gani?

Yea maswali ni mazuri hasa kwa wanaoingia kichwa kichwa.
 
Back
Top Bottom