Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,014
Kwani ni lazima pesa ya kuendea nje iwe ya mlipa kodi wa Tanzania, Mbona mimi nimeenda nje zaidi ya mara 4 tena kwa shughuli za umma siyo binafsi na sijatumia kodi za wananchi. Tafuta data pengine waliomwalika wamemlipia je?.
After all kwani amesharudi ziara yake ya Lindi na Mtwara, anachapa kazi sana huyu mama
kwa kimakonde tunaweza kumwita "mkongwe mnume".
Huyu anatafutia watu ban, sichangii thread hii, ngoja nitafute thread nyingine maana sintoweza kuzidhibiti hasira zangu juu ya ufisadi huu. nakumbuka juzi juzi mugabe mpaka wafanyakazi wa ndani ya ndege walimnunia kutokana na kusafiri na kundi kubwa la watu.