Chamkoroma
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 186
- 11
Jamani mtanisamehe kuuliza huku si ujinga kwani hata Museven alimuweka mkewe katika baraza la waziri, nasema hivi nikwasababu, hapa ninaposema ameondoka TZ kwenda Marekani kwasababu amealikwa Lunch ktk mji mmoja huko, akiwa na ujumbe wa watu 18, wakisafiri na EK 725 tokea Dar toDubai nakuunganisha kwenda Marekani kwa shughuri hiyo, najua baadhi mtasema ni majungu, lkn ukweli nchi ya Wadanganyika inaliwa mpaka baadhi ya viongozi wanasikitika kwa kitendo cha huyu mama kutumia mabilioni ya wananchi, wandugu shughuli km hizi hata kama zinaweza leta kitu kidogo au watu wakale husema kiasi cha mboga, lkn matumizi yake ni makubwa sana, inauma kuona watu wanaopinga ufisadi wanakuwa wakwanza kuchakachua ukweli huo, nashindwa kuelewa kwani angemtuma mke wa balozi wetu aliyeko UNO asingemuakilsha? km tu inahitajika mwanamke lkn hata balozi wa TZ US au huyo wa UNO wanatosha sn kumaliza mambo kuliko kwenda kwa ajili ya Lunch, inaonyesha kunabaadhi ya watu, wangepewa sh. 1m ya lunch wangelalamika nakusema haitoshi, lkn dogo 1st moth of the yr akazitolea nje, jamani tusipopiga kelele kuupinga huu usanii wa kifisadi kweli TZ itaendelea kuteketea.
nawakilisha.
nawakilisha.