Sugar wa Ukweli
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 373
- 37
Kiongozi una uhakika kuwa mtoto uliyemuona anatolewa majini live kwenye TV alikuwa na MAJINI?,je kama ilipangwa kati ya mama na huyo mtoto ili kugain publicty?Huyu mama ana nguvu za kitakatifu. Niliona kwenye TV live akimponya binti mmoja aliyekuwa na mashetani. Pia anaongea na anauwezo wa kuyaita majini yaliyomo ndani ya mtu. Si hivyo tu pia anayatoa na binti anapona. Hii yote live kwenye tv mbele ya maelfu ya wauminil. Ananguvu za roho mtakatifu. Mimi binafsi sina majini na siyajui, ila ningekuwa nayo ningemtafuta.