Mama Pretty nimezama penzini

Mama Pretty nimezama penzini

Sema ndio vikitumbukiaga nyongo duuh

Utasema ni wale walikuwa wanaitana sweet, honey, baby n.k ?

Sasa imekuwaje jomoni?!

Yaani hata kama mmejaliwa watoto wazuri na wenye akili Bora ni kazi bure

Mwanamke utaonekana kama maviiii

Mwanamke ulizani wewe ni malkia kumbe wapiii

Tujifunze tu namna bora ya kuhusiana na Mwanaume wako na nduguze.

Usiseme nimeolegwa na mmoja.

Swala la kujenga au kubomoa mahusiano limeachwa kwa mwanamke.

Hekima msingi wake ni subira na uvumilivu mkubwa.

Kipindi cha kusubiri na kuvumilia ni kipindi cha kujifunza na ku-apply kuamua mambo Kwa usahihi bila majuto .
 
💝
 

Attachments

  • Screenshot_20230818-181553.jpg
    Screenshot_20230818-181553.jpg
    81.3 KB · Views: 7

Similar Discussions

Back
Top Bottom