mimitungi
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 738
- 261
"Sawa kupanda miti na kufanya usafi si jambo la msingi, napenda tukae na kuzungumza tufanye nini Kwa ajili ya taifa letu".
Source: Mtanzania gazeti
My take:UV CCM walidhani wangetuliza mzuka wa Mama aache kuzungumzia mambo ya maana Kwa taifa na kujikita kupanda miti sijui Nia ilikuwa kumchosha lakini aliwashtukia na kuwapa za uso live.
Source: Mtanzania gazeti
My take:UV CCM walidhani wangetuliza mzuka wa Mama aache kuzungumzia mambo ya maana Kwa taifa na kujikita kupanda miti sijui Nia ilikuwa kumchosha lakini aliwashtukia na kuwapa za uso live.