Mama Nyerere akataa kupanda miti

Mama Nyerere akataa kupanda miti

Makonda alikuwa mtu wa MUNGU sijui nini kimemkumba.
"Sawa kupanda miti na kufanya usafi si jambo la msingi, napenda tukae na kuzungumza tufanye nini Kwa ajili ya taifa letu".
Source: Mtanzania gazeti

My take:UV CCM walidhani wangetuliza mzuka wa Mama aache kuzungumzia mambo ya maana Kwa taifa na kujikita kupanda miti sijui Nia ilikuwa kumchosha lakini aliwashtukia na kuwapa za uso live.
 
Siwaoni rafiki zangu Ritz, chama, ZeMarcopolo, msalani, chabruma; FaizaFoxy, Mamndenyi, na wote tupendao kile chama chetu cha kuneemesha wachache waitwao mafisadi. Mama yetu kawamaliza jana. Hata magazeti mnampangia hadi anunue ayatakayo.
 
UV-CCM hawajui kuwa Mama Maria huwa hawafagilii Mashoga wauza sura? kwanini wasingepeleka wajumbe wa maana !?...
 
UV-CCM hawajui kuwa Mama Maria huwa hawafagilii Mashoga wauza sura? kwanini wasingepeleka wajumbe wa maana !?...

Walizania wako Clouds kwenye ule mradi wao wa kifisadi wa sijui "KUWA MZALENDO, ENEZA UZALENDO" (pumba/kitu kama hicho).
 
..

....leo UKAWA KAZINI !!


attachment.php
 
Ukiwa mwanac.c.yem ni kama kukubali kuwa mfu aliyekosa kaburi.
 
Sijui kwanini CCM wamewekeza kwenye propaganda hadi kwenye zama hizi, mbona wana uwezo na nafasi ya kufanya mambo mazuri na makubwa kiasi wananchi wakajenga imani nao vyakutoshaaa

Ccm wanawadharau waTZ, kiasi kuwa wanajiona wako just too expensive and superior to address the Wananchi as grown ups and owners of this land. Ccm wana feel kuwa hii nchi ni ya kwao na sisi wananchi ni wapangaji tu! Ndiyo maana watawala akili zao wamewekeza kny kupora fedha na mali kiroho mbaya utafikiri wanategemea kuihama! Angalia hata wabunge wao wapo mbali na wananchi, wapo pale kutetea ulaji serikalini dhidi ya wapiga kura wao
 
siwaoni rafiki zangu ritz, chama, zemarcopolo, msalani, chabruma; faizafoxy, mamndenyi, na wote tupendao kile chama chetu cha kuneemesha wachache waitwao mafisadi. Mama yetu kawamaliza jana. Hata magazeti mnampangia hadi anunue ayatakayo.

yako pending yanalamba kitu ya shyonzya,yakirudi utaona tu,yote yana akili za mende.
 
UV-CCM hawajui kuwa Mama Maria huwa hawafagilii Mashoga wauza sura? kwanini wasingepeleka wajumbe wa maana !?...

Yaani mama wanataka kumchanganya na UVCCM badala ya Mwinyi, Mkapa na wazee wenzake? Kweli hii ni dharau iliyopitiliza.
 
Hili chama la magamba ningekuwa ninauwezo wa kulihukumu ninge kata mihead ya mamembers wake wote.
 
Hili chama la magamba ningekuwa ninauwezo wa kulihukumu ninge kata mihead ya mamembers wake wote.

Hapana mkuu, usifike huko. Labda ndege iliyopotea ingetusaidia kubeba baadhi yao na kupotea nao ingetupunguzia stress.
 
Kati ya Mambo ambayo ccm imefanikiwa ni kuwafanya vijana kukata tamaa ya kuishi na kuwa tayari kwa lolote mradi tumbo linapata kitu. Afadhali kama Mama anaonesha kwamba kuna maisha nje ya ccm pia. Mungu ibariki TANZANIA
 
Tukiambia wafanye kazi walipekodi kama sisi hawataki..unafikiri watu kama msalani, ritz, simiyu yetu, faiza fox, nk ni watu maskini ni watu wasioweza kukaa kutumia akili kutafuta maisha..wanategemea chama na kulamba watu miguu na vijana wengi wa ccm walivyo
 
Sijui kwanini CCM wamewekeza kwenye propaganda hadi kwenye zama hizi, mbona wana uwezo na nafasi ya kufanya mambo mazuri na makubwa kiasi wananchi wakajenga imani nao vyakutoshaaa

Halafu laana iwaache, cdhani kaka, kuna damu za watu wasio na hatia zinaililia ccm wala ccm haitapona hata kidogo mpaka watakapolipa centi ya mwisho wao na vizazi vyao
 
mbona siwaoni watoto wa interahamwe kwenye thread hii au bado wako lumumba
 
Back
Top Bottom