Mama Nyerere akataa kupanda miti

Mama Nyerere akataa kupanda miti

Wanafanya mpango wa kuwategea mabomu ukawa,ndo maana hawapatikani.
 
yako pending yanalamba kitu ya shyonzya,yakirudi utaona tu,yote yana akili za mende.

Mkuu WILLAFRICA nmeipenda sana hii!!! Watailamba weee hadi iote sugu na kutupwa kule!!!! Chezea mizinzi ya kule, hupati cheo mwanamke hujaliwa!!! Kuna UVCCM nilipiga naye story za hapa na pale alinipa mazito!!! Kule ni danguroni!!
 
MSALANI Ni kweli hayo maana mwenzio abarokamo kAPIGWA BAN Noma sana
 
Last edited by a moderator:
Sijui kwanini CCM wamewekeza kwenye propaganda hadi kwenye zama hizi, mbona wana uwezo na nafasi ya kufanya mambo mazuri na makubwa kiasi wananchi wakajenga imani nao vyakutoshaaa

Vichwa kwa kweli ndugu yangu Lyimo hutofautiana. Ni kweli kabisa wanatumia nguvu na pesa nyingi kwenye propaganda kudanganya watu, kumbe kwa nguvu na pesa hizo hizo wangetenda makubwa kwa wanaowaongoza na wakawaridhisha kabisa....Poor planning....!
 
Hivi CCM ya leo inaweza kumtenganisha mama Maria na Jaji Warioba, pia inaweza kumtenganisha Warioba na Butiku? na mama yetu akafurahia jambo hili? Tume iliyobeba mawazo ya watanzania walio wengi leo inabezwa hadharani na mama yetu afurahie tu - aisee!!

Hapa kuna kitu hakiendi sana, wakae chini watafakari na kuelewa kwamba CCM halisi aliyoiacha mwalimu bado ipo - wana kazi ya kufanya kukiokoa chama hasa kwenye hili jambo muhimu kabisa la Katiba.
 
Back
Top Bottom