Mama N'tilie

Mama N'tilie

Ulishika kitu lainiiiiiii eeh? vipi siku unakubali kuijua hujamkumbuka yule mteja na zawadi ya kesho?

Yaani sijui nilijua nimeshika nini dudu si dudu nyoka si nyoka woga ukanijaa looh.

Aaah siku ya siku wala sikukumbuka mtoaji alikuwa makini maana alijua ni mara yangu ya kwanza hivo hakutaka nijutie. Alimaliza PHD yake yote kwangu hehehehe.
 
Mh ila wee wa zamanii, miaka 25 iliyoisha ulishamaliza form 4
Asilimia 70 hapa walikuwa wananyonya ndo mana pasua bongo
 
Mh ila wee wa zamanii, miaka 25 iliyoisha ulishamaliza form 4
Asilimia 70 hapa walikuwa wananyonya ndo mana pasua bongo

Sio tuu wa zamani sema mie ni kigagula nimekula chumvi weeh hadi sasa siili tena. Tena wengine walikuwa hawajazaliwa kabisaa.

Hahahaa eti pasta bongo hapana kawaida tuu.
 
kwamba ukakutana na pangaboi ana kwa ana

Yaani ile kuhamaki majanga shaaah hawa hapa weeh utasema nilipigwa shoti mkono mbio nje ya mfuko hahahahahaha yule mkaka mbaya ssna hakutaka mwenzie nimalize shule maana ningeanza kupata mautamu kipindi hiko wala darasani yasingeingia. Ningekuwa nawaza kung'atwa tuu na nyoka hehehe
 
Yaani ile kuhamaki majanga shaaah hawa hapa weeh utasema nilipigwa shoti mkono mbio nje ya mfuko hahahahahaha yule mkaka mbaya ssna hakutaka mwenzie nimalize shule maana ningeanza kupata mautamu kipindi hiko wala darasani yasingeingia. Ningekuwa nawaza kung'atwa tuu na nyoka hehehe
ila ungeyazoea mapema hayo mautamu yasingekusumbua
 
Yaani sijui nilijua nimeshika nini dudu si dudu nyoka si nyoka woga ukanijaa looh.

Aaah siku ya siku wala sikukumbuka mtoaji alikuwa makini maana alijua ni mara yangu ya kwanza hivo hakutaka nijutie. Alimaliza PHD yake yote kwangu hehehehe.
he he he hujamkumbuka babu wa wa kwa mama ntilie?

hayaa ndio maana siku hizi unatingisha mkia eeh mda wote.

vipi shangzi bado anauza?
 
ila ungeyazoea mapema hayo mautamu yasingekusumbua

Mmmhh kichwa panzi hiki nisingeweza kuhimili mambo mawili kwa wakati mmoja... shule na mapenzi ningefeli tuu nikabaki na mapenzi. ...
 
he he he hujamkumbuka babu wa wa kwa mama ntilie?

hayaa ndio maana siku hizi unatingisha mkia eeh mda wote.

vipi shangzi bado anauza?

Hahahahahaa weeweee

Shangazi ameshastaafu hafanyi tena biashara hizo ni mzee sasa analelewa na watoto wake.
 
Back
Top Bottom