Wadau, habari zenu bana? Mimi nina facts lukuki kuhusiana na Dr. Ngoma na washirika wake. Mnapolalamika mbona hatua za kisheria hazichukuliwi dhidi yao mnasahau kuwa hii serikali inaendeshwa kishkaji! Ukiwa unafahamiana na wakubwa, kama Dr. Ngoma alivyo kwa kutibu viongozi wengi ambao saratani ni ugonjwa common kwao, huwezi kuguswa na chombo chochote. Ndio maana Ngoma anapeta tu pale Ocean Road Cancer Institute tangu enzi za Mwalimu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mpooooo au mnataka data zaidi? Msije mkawa kama serikali ya JK ambayo hadi leo bado haijapata ushahidi wa kuwashtaki watuhumiwa wa ununuzi wa rada!!!!