Mama Ngoma hospital wanatibu wagonjwa au wanafanya biashara?

Naliliona ni hilo la kuwa na exact service na ile anayoisimamia, ni kweli kakaa sana ocean road, nafikiri its hight time vijana kama wakina Dr Julie Makani winner wa Pfizer award ya young african scientist 2011 waanze kuchukua madaraka haya makubwa, imefika wakati ngoma aende kusimamia hospitali yake kwa makini zaidi, Lingine ambalo hamalisema ni kwamba haweki wazi kwamba huduma yake ni ya kumfanya mgonjwa afe bila taabu sana yaani ni pallative care jambo ambalo nimejaribu kuangalia kwenye maandiko yote pale hospitali kwake sijaona kitu kama hicho. kwa hiyo anaibiwa wagonjwa kwa kuwapa matumaini potofu anapofika kwamba unaweza kupona, huku akijua kabisa ni terminal cases, familia zinaishia kufanya maamuzi ya jazba ya kulipa mamilioni ya pesa by the time wanajua wameliwa ni pale mgonjwa anapokua hoi kabisa ama pale anapofariki. Juu ya garama na kukosa utu kwenye huduma hili ni la kweli, walau watakujali ukiwa bado pale lakini moto utauona siku mgonjwa wako amefariki. Binafsi nililazimika kwenda lugalo mara mbili mbili baada ya watendaji wake kwa makusudi kuni mislead kwamba maiti ingepokelewa bila death certificate inayotolewa nao kwa kuwa nilikua nadaiwa shilingi laki mbili hii ni baada ya kuwa nimeshalazwa pale zaidi ya mwezi na tayari nimeshalipia zaidi ya 4m kwa matibabu na huduma laki mbili ziliwatoa roho wakati nilikua nawahisha maiti lugalo ikawekewe dawa nikasema kuna mtu atakuja kulipia hili deni kule lugalo huduma zinaishia sas saba basi nilifika mortuary lugalo naulizwa kitu ambacho nilishawakumbusha pale ngoma wakaniambia we nenda tu wanapokea, nikarudi nikawachamba sana na kuwaambia huo ni ushenzi na unafiki maiti ilibidi niiache nje pale lugalo kwa kuomba tu waombolezaji wengine waniangalialie mimi nimerudi kwa ngoma imagine jamani hata ulaya hawafanyi hivi wanasystem ya kuhakikisha kwamba watakufuatilia
aisee,Pole sana!
 
ni kweli kabisa huyu ngoma yuko kibiashara kabisa. Nenda pale ocean road ukaangalie huduma zinavyozorota, mashine za mionzi kila siku zinaharibika wagonjwa wanabaki kiteseka na kufa fedha zote zinazotoka wizarani pamoja na kwenye vyanzo vingine zote zinaishia kwenye hospitali yake. wafanyakazi hawana motivation ya aina yoyote wote wako kama wamekata tamaa. ndo maana rushwa imekithiri sana pale ocean road. mgonjwa unakuta amefanyiwa vipimo vyote hivyo amebakiza matibabu ya mionzi lakini mpaka aje atibiwe ni miezi miwili sa unakuta hata kama mtu ana kansa stage one on the day of diagnosis mpaka aje atibiwe ubakuta kansa imesambaa na mgonjwa yuko kwenye.stage 3 au 4 ambayo ni ngumu kupona. but due to poor management ya hospitali hii wagonjwa wengi wanaoletwa ocean road huwa wanafariki.
ombi langu kwa wizara na vyombo husika ifuatilie hili jambo si jambo la masihara kabisa huyu ngoma anaangamiza maisha ya watu kabisa ikiwezekana serikali ichukue hatua madhubuti juu yake.
 
ni hospitali ya kipu.mbavu sana ile, kuna siku moja nilienda kule kwasababu mke wangu alikuwa anajisikia anaumwa, tukapima wakasema mjamzito na mimi sikuwa nae miezi mingi, nikajua nimeibiwa, kabla ya kutoa adhabu, nikaenda kupima siku hiyoiyo hospitali nyingine, wakasema hana mimba wala nini, kesho yake nikazunguka hospitali kama nne tofauti, wakasema nil, kuja kugundua ana malaria...nikarudi palepale wiki hiyohiyo kwa doctor mwingine nikasema pimeni tena, yeye hakuwepo kipindi cha kwanza, akatoa majibu hamna mimba..ikabidi nitoe story, yule aliyempima waifu nusura aachishwe kazi, kwasababu alitaka kusambaratisha ndoa yangu, na ningempa adhabu waifi bila kosa....haina maana ile nakwambieni..
 
Mwaka jana, nikiwa Dar mke wangu alianza kuumwa tumbo, usiku, ikabidi asubuhi hiwahi sana kwenda nae hospital na hospital iliyokuwa jirani na ninapoishi ni hapo kwa Mama Ngoma. Kwa kuwa mgonjwa alikuwa analalamika tumbo la uzazi ikabidi tuombe kuwafanyiwa utra sound pale, kwa kweli kilichonishanganza ni jibu nililopewa kuwa nisubiri mpaka saa nane mchana akirudi Doctor ndio utatibiwa kwa kuwa hiyo machine ni yeye mwenyewe anaioparate. Cha kusigitisha zaidi nilikuwa tayari nimeshalipa fedha ya kumuona doctor, na kufanya consultation ndio nikaja kupata jibu kuwa kipimo mpaka saa nane huku mgonjwa akilalamika sana tumbo. Nilichofanya niliwaachia fedha na kwenda kwenye hospital moja ndogo ipo mitaa ya Morocco inaitwa Mkombozi, pale nikapata huduma ya utra sound fast. Kwa kweli pale Mwenge kwa Ngoma ni hovyo kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Mambo yanayofanyika hapo Mama Ngoma hospital kama yalivyoandikwa kwenye mada hii yanaiondolea hiyo facility heshima ya kuitwa hospital. Si ajabu leseni yake ni ya Health Centre au Dispensary ila umetokea uchakachuaji na kuibatiza kuwa hospital. Wakati ule mkewe Dr Ngoma alipokuwa hai ndiye alikuwa anasimamia hiyo dispensary(alikuwa ni muuguzi???); lakini tangu afariki basi mambo hovyo hovyo kama yalivyobaininshwa katika mada za hapo juu. Kweli Tanzania ni zaidi ya mtu uijuavyo
 
Siku zote huwa siamini one man hospitals. Ingawa nakaa mwenge wala sijawahi kufikiria kwenda kwenye hiyo hospital. Mimi na familia yangu hua tunatibiwa mnazi mmoja. Sasa hivi wamepaboresha ingawa watu ni wengi, lakini siku zote tunakua na subira. Vipimo vya uhakika. Kama kuna dharura naenda agakhani. Inasikitisha sana.
 
ni hospitali ya kipu.mbavu sana ile, kuna siku moja nilienda kule kwasababu mke wangu alikuwa anajisikia anaumwa, tukapima wakasema mjamzito na mimi sikuwa nae miezi mingi, nikajua nimeibiwa, kabla ya kutoa adhabu, nikaenda kupima siku hiyoiyo hospitali nyingine, wakasema hana mimba wala nini, kesho yake nikazunguka hospitali kama nne tofauti, wakasema nil, kuja kugundua ana malaria...nikarudi palepale wiki hiyohiyo kwa doctor mwingine nikasema pimeni tena, yeye hakuwepo kipindi cha kwanza, akatoa majibu hamna mimba..ikabidi nitoe story, yule aliyempima waifu nusura aachishwe kazi, kwasababu alitaka kusambaratisha ndoa yangu, na ningempa adhabu waifi bila kosa....haina maana ile nakwambieni..

duuh pole sana dr ngoma aliniambia kuwa yeye ni gainacologist mzuri sana kama nikiwa na tatizo nimuone, ila napata wasiwasi kwani yule amespecialize kwenye magonjwa gani haswa?
 
Kuna jirani yangu alikuwa anaumwa kansa wakampeleka pale Mama Ngoma clinic , mama wa watu masikini aliumwa wee akatibiwa pale mwisho wale jirani zangu wakaishiwa pesa. Wakifikiria wampeleke Ocean Road wanaogopa coz Dr Ngoma mwenyewe ndio sterling kule mwisho alifariki.
 
Wewe ukitaka kuamini wapo ki maslahi nenda kapime malaria ukubali kumuona daktari ukiwa nayo utajuta.

Hii hii malaria dawa haizidi 15,000 lakini pale inaweza kutoka 50,000 mimi huwa naenda kupima malaria naondoka
 
Naliliona ni hilo la kuwa na exact service na ile anayoisimamia, ni kweli kakaa sana ocean road, nafikiri its hight time vijana kama wakina Dr Julie Makani winner wa Pfizer award ya young african scientist 2011 waanze kuchukua madaraka haya makubwa, imefika wakati ngoma aende kusimamia hospitali yake kwa makini zaidi, Lingine ambalo hamalisema ni kwamba haweki wazi kwamba huduma yake ni ya kumfanya mgonjwa afe bila taabu sana yaani ni pallative care jambo ambalo nimejaribu kuangalia kwenye maandiko yote pale hospitali kwake sijaona kitu kama hicho. kwa hiyo anaibiwa wagonjwa kwa kuwapa matumaini potofu anapofika kwamba unaweza kupona, huku akijua kabisa ni terminal cases, familia zinaishia kufanya maamuzi ya jazba ya kulipa mamilioni ya pesa by the time wanajua wameliwa ni pale mgonjwa anapokua hoi kabisa ama pale anapofariki. Juu ya garama na kukosa utu kwenye huduma hili ni la kweli, walau watakujali ukiwa bado pale lakini moto utauona siku mgonjwa wako amefariki. Binafsi nililazimika kwenda lugalo mara mbili mbili baada ya watendaji wake kwa makusudi kuni mislead kwamba maiti ingepokelewa bila death certificate inayotolewa nao kwa kuwa nilikua nadaiwa shilingi laki mbili hii ni baada ya kuwa nimeshalazwa pale zaidi ya mwezi na tayari nimeshalipia zaidi ya 4m kwa matibabu na huduma laki mbili ziliwatoa roho wakati nilikua nawahisha maiti lugalo ikawekewe dawa nikasema kuna mtu atakuja kulipia hili deni kule lugalo huduma zinaishia sas saba basi nilifika mortuary lugalo naulizwa kitu ambacho nilishawakumbusha pale ngoma wakaniambia we nenda tu wanapokea, nikarudi nikawachamba sana na kuwaambia huo ni ushenzi na unafiki maiti ilibidi niiache nje pale lugalo kwa kuomba tu waombolezaji wengine waniangalialie mimi nimerudi kwa ngoma imagine jamani hata ulaya hawafanyi hivi wanasystem ya kuhakikisha kwamba watakufuatilia

Ehe kumbe wamefikia huko? Si afadhali wangekwambia kwamba hawawezi kukuandikia death certificate mpaka umelipa pesa yao yote kuliko kukwambia nenda watapokea halafu unaishia kurudishwa?

Pambaf!!!!!!

Tiba
 
Sio kweli kuwa Ngoma ana urafiki na Blandina Nyoni; kwa utendaji wa mama huyu I believe she has tried to act professionally in order to rectify the situation, nadhani ameshindwa kwani Ngoma anatumia influence ya first lady /WAMA kama kinga ya madhambi yake!! As long as Ngoma na Msemo wako Ocean Road wagonjwa wengi wataaaga dunia!! Hopefully someone sensible is reading this thread and will act responsibly soon.
 
duuh pole sana dr ngoma aliniambia kuwa yeye ni gainacologist mzuri sana kama nikiwa na tatizo nimuone, ila napata wasiwasi kwani yule amespecialize kwenye magonjwa gani haswa?

Ngoma sio Gynaecologist wala hajawahi kusoma masomo hayo asikudanganye, yeye ni bingwa wa wanawake yaani akiona mwanamke mzuri mate yanamjaa mdomoni balaaa. Hata kifo cha mke wake kilichangiwa na dada mmoja ambaye kwa sasa ndiye secretary wake pale ocean road, huyu dada alikuwa ni mzuri sana kipindi kile na alikuwa anatembea na ngoma live baaada ya mke wake kuchoka hizo tabia ngoma alimwamishia Ocean road na akawa PS wake pale. Yule mama alijifia kwa saratani ya koo akiwa na machungu ya dhuluma aliyo fanyiwa na mumewe mpenda totoz, waulize female young doctors walioko ocean road wanavyo nyanyaswa kwa kutongozwa na huyu bwana. wengi wao ni umri wa watoto wake.

Mtoto wake mkubwa wa kike aliacha kazi Ocean road kwa aibu ya matendo ya baba yake! Ni dactari na ni mlokole wa madhehebu ya Jehova witness, lakini baba yake alimuabisha sana pale ocean road na binti yake ilibidi aache kazi.

Raisi wa jamuhuri, na mama nyoni ni washirika wake wakubwa na huyu bwana haguswi pale, alijitahidi ku monopolize tiba ya kansa na ilifika kipindi alipiga vita sana uanzishwaji wa taasisi ya saratani bugando medical centre, hata kusomesha wataalamu kwenye hii fani amenza kupeleka watu miaka miwili iliyopita, na hii ni kuogopa changamoto hasa za madaktari vijana wanaoibukia.

Kwani ni nani pale ocean road asiye fahamu jinsi ngoma anavyomnyanyasa Dr Lwande au hata Dr Kombe na hawa wote ni watu ambao wanajitahidi kusimamia maadili na utendaji pale ocean road, lakini ndio wamekuwa maadui wakubwa wa ngoma.

Ni zaidi ya miaka kumi huyu bwana amekuwa mkurugenzi pale,hamna lolote la maana alilofanya kuna jengo jipya limejengwa pale, wala sio mafanikio yake ni programu ya wizara ingawa kupitia mradi huu jamaa kanufaika sana.

Tunaomba serikari iingilie kati ama la Ocean road itaendelea kuwa eneo la kusubiria kifo baada ya kugunduliwa kuwa una kansa. Ni aibu ni uchungu. Kwani serikali hioni hii conflict of interest kati ya ORCI na Mama ngoma hospital??? Usalama wa taifa unafanya kazi gani,wizara iko wapi, serikali haioni hili??????
 
Ngoma sio Gynaecologist wala hajawahi kusoma masomo hayo asikudanganye, yeye ni bingwa wa wanawake yaani akiona mwanamke mzuri mate yanamjaa mdomoni balaaa. Hata kifo cha mke wake kilichangiwa na dada mmoja ambaye kwa sasa ndiye secretary wake pale ocean road, huyu dada alikuwa ni mzuri sana kipindi kile na alikuwa anatembea na ngoma live baaada ya mke wake kuchoka hizo tabia ngoma alimwamishia Ocean road na akawa PS wake pale. Yule mama alijifia kwa saratani ya koo akiwa na machungu ya dhuluma aliyo fanyiwa na mumewe mpenda totoz, waulize female young doctors walioko ocean road wanavyo nyanyaswa kwa kutongozwa na huyu bwana. wengi wao ni umri wa watoto wake.
Mtoto wake mkubwa wa kike aliacha kazi Ocean road kwa aibu ya matendo ya baba yake! Ni dactari na ni mlokole wa madhehebu ya Jehova witness, lakini baba yake alimuabisha sana pale ocean road na binti yake ilibidi aache kazi.
Raisi wa jamuhuri, na mama nyoni ni washirika wake wakubwa na huyu bwana haguswi pale, alijitahidi ku monopolize tiba ya kansa na ilifika kipindi alipiga vita sana uanzishwaji wa taasisi ya saratani bugando medical centre, hata kusomesha wataalamu kwenye hii fani amenza kupeleka watu miaka miwili iliyopita, na hii ni kuogopa changamoto hasa za madaktari vijana wanaoibukia.
Kwani ni nani pale ocean road asiye fahamu jinsi ngoma anavyomnyanyasa Dr Lwande au hata Dr Kombe na hawa wote ni watu ambao wanajitahidi kusimamia maadili na utendaji pale ocean road, lakini ndio wamekuwa maadui wakubwa wa ngoma.
Ni zaidi ya miaka kumi huyu bwana amekuwa mkurugenzi pale,hamna lolote la maana alilofanya kuna jengo jipya limejengwa pale, wala sio mafanikio yake ni programu ya wizara ingawa kupitia mradi huu jamaa kanufaika sana.
Tunaomba serikari iingilie kati ama la Ocean road itaendelea kuwa eneo la kusubiria kifo baada ya kugunduliwa kuwa una kansa. Ni aibu ni uchungu. Kwani serikali hioni hii conflict of interest kati ya ORCI na Mama ngoma hospital??? Usalama wa taifa unafanya kazi gani,wizara iko wapi, serikali haioni hili??????

kumbe litakuwa hata lile ghorofa kazurumu kodi za watu nini..
 
Ngoma sio Gynaecologist wala hajawahi kusoma masomo hayo asikudanganye, yeye ni bingwa wa wanawake yaani akiona mwanamke mzuri mate yanamjaa mdomoni balaaa. Hata kifo cha mke wake kilichangiwa na dada mmoja ambaye kwa sasa ndiye secretary wake pale ocean road, huyu dada alikuwa ni mzuri sana kipindi kile na alikuwa anatembea na ngoma live baaada ya mke wake kuchoka hizo tabia ngoma alimwamishia Ocean road na akawa PS wake pale. Yule mama alijifia kwa saratani ya koo akiwa na machungu ya dhuluma aliyo fanyiwa na mumewe mpenda totoz, waulize female young doctors walioko ocean road wanavyo nyanyaswa kwa kutongozwa na huyu bwana. wengi wao ni umri wa watoto wake.

Mtoto wake mkubwa wa kike aliacha kazi Ocean road kwa aibu ya matendo ya baba yake! Ni dactari na ni mlokole wa madhehebu ya Jehova witness, lakini baba yake alimuabisha sana pale ocean road na binti yake ilibidi aache kazi.

Raisi wa jamuhuri, na mama nyoni ni washirika wake wakubwa na huyu bwana haguswi pale, alijitahidi ku monopolize tiba ya kansa na ilifika kipindi alipiga vita sana uanzishwaji wa taasisi ya saratani bugando medical centre, hata kusomesha wataalamu kwenye hii fani amenza kupeleka watu miaka miwili iliyopita, na hii ni kuogopa changamoto hasa za madaktari vijana wanaoibukia.

Kwani ni nani pale ocean road asiye fahamu jinsi ngoma anavyomnyanyasa Dr Lwande au hata Dr Kombe na hawa wote ni watu ambao wanajitahidi kusimamia maadili na utendaji pale ocean road, lakini ndio wamekuwa maadui wakubwa wa ngoma.

Ni zaidi ya miaka kumi huyu bwana amekuwa mkurugenzi pale,hamna lolote la maana alilofanya kuna jengo jipya limejengwa pale, wala sio mafanikio yake ni programu ya wizara ingawa kupitia mradi huu jamaa kanufaika sana.

Tunaomba serikari iingilie kati ama la Ocean road itaendelea kuwa eneo la kusubiria kifo baada ya kugunduliwa kuwa una kansa. Ni aibu ni uchungu. Kwani serikali hioni hii conflict of interest kati ya ORCI na Mama ngoma hospital??? Usalama wa taifa unafanya kazi gani,wizara iko wapi, serikali haioni hili??????


duuh umenifungua macho,kimbe ndo tabia yake?mmh kweli serikali inabidi isilifumbie macho hili swala maana wananchi wanateseka
 
Sio kweli kuwa Ngoma ana urafiki na Blandina Nyoni; kwa utendaji wa mama huyu I believe she has tried to act professionally in order to rectify the situation, nadhani ameshindwa kwani Ngoma anatumia influence ya first lady /WAMA kama kinga ya madhambi yake!! As long as Ngoma na Msemo wako Ocean Road wagonjwa wengi wataaaga dunia!! Hopefully someone sensible is reading this thread and will act responsibly soon.

mmh, wakati ule JK ameanguka Jangwani kuna tetetsi kuwa alipelekwa kwanza kwa Mama Ngoma hospital kupumzika. Kama ni kweli itakuwa ni uthibitisho kuwa wanaelewana naye sana, hivyo hakuna wa kumtoa pale labda hadi 2015
 
Wadau, nina mengi sana tena nikiwa na ushahidi wa kutosha unaohusu wizi na ubadhirifu wa fedha na mali za serikali pamoja na washirika wa maendeleo unaofanywa na "Uwili Mtakatifu", yaani Dr. Ngoma na Msemo.

Tatizo ni mtandao. Kumbukeni jamaa ndio "ma-expert" wa kansa hapa nchini, ugonjwa unaowamaliza viongozi na familia zao nchini. Hivyo karibia kila kigogo serikalini anawajua jamaa hawa.

Lililo wazi tu ni kuwa Ngoma na Msemo wamefuja sana fedha na kujenga hospitali nzuri tena zenye vifaa vya kisasa ambavyo pengine hata Ocean Road kwenyewe havipo. Lakini ni nani wa kumfunga paka kengele ikiwa hawa watu wamejuana na viongozi wakuu wa nchi? Zipo cases nyingi za watu kuonewa, kuumia au hata kufariki kwasababu ya tamaa ya watu hawa. Ngoma na Msemo wana taasisi zao binafsi ambazo wakati mwingine wanatumia muda na rasilimali za Ocean Road kufanikisha wizi na matakwa yao binafsi. Mnakumbuka mashine iliyoibiwa pale Ocean Road? Hivi ni nani Tz hii anayeweza kuiba kitu ambacho hajui hata kukiwasha? Yaani huwezi hata kwenda kuuza kama scraper, cha ajabu ukienda kwa Mama Ngoma utaona vifaa bora zaidi. Ndio maana vingine vimefungiwa kwenye chumba cha Dr. Ngoma mwenyewe na mwenye kuhitaji huduma yake ni lazima amsubirie hata kama mgonjwa anakaribia kukata roho!

Next time nitaanza kuwaonyesheni baadhi ya documents Ngoma anazoghushi ingawa ukienda kwenye vyombo vyetu vya dola watakuambia hawana ushahidi wa kuwashitaki mahakamani! Eti raia wanajitolea na wanasema ushahidi upo wa kutosha, DPP, TAKUKURU na IGP wanadai wao hawana ushahidi. Thubutu uone, it will be just like Radar Scandal. Hiyo ndio Tz zaidi ya uijuavyo!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Back
Top Bottom