Mama na mwanae wana mshambulia muoaji

Mama na mwanae wana mshambulia muoaji

Kataa Ndoa hapo wanakuwa Roho kwatuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila poleee yake huyo rafiki yako, kikubwa aipambanie familia yake, asiikimbie anakosea. Ilaa mmmh Ndoa hizi zina mengi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann sasa??
Nadhani nnavyoitune akili kumbe mind ni rahisi kuwa vile unataka iwe nikiwaza negative najisemea mwenyewe sometimes nikiwa peke angu natoa sauti kabisa "no negatives" naona kabisa akili inafaulu hili
 
Kataa Ndoa hapo wanakuwa Roho kwatuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila poleee yake huyo rafiki yako, kikubwa aipambanie familia yake, asiikimbie anakosea. Ilaa mmmh Ndoa hizi zina mengi.
Wala hatufurahi mkuu , ni huzuni tu mambo ni mabaya mno
 
Kataa Ndoa hapo wanakuwa Roho kwatuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila poleee yake huyo rafiki yako, kikubwa aipambanie familia yake, asiikimbie anakosea. Ilaa mmmh Ndoa hizi zina mengi.
Ni balaa watu wana masumbuko, mashida, matatizo na matabu sana hii dunia.
 
Nadhani nnavyoitune akili kumbe mind ni rahisi kuwa vile unataka iwe nikiwaza negative najisemea mwenyewe sometimes nikiwa peke angu natoa sauti kabisa "no negatives" naona kabisa akili inafaulu hili
Yeaaah ni hivyo dear eve.
 
Yaan ila huyu Kaka kwann asikae na mkewe wapange mambo ya msingi, means kuna sehemu wanashindwa kuwa sawa.
Sure ila kwa sasa wadada wa kukaa nao mpange mambo ni wachache , kuna mitindo mipya ya nywele , simu matoleo ya kijanja na nk , wachache sna wanabahatika hawazid 10.
 
Siki hizi akili yangu haipendi kusoma wala kusikia kesi/mambo negative/ mambo ya kukera.....sijui ndo uzee 🙄 nikisoma kidogo naacha hata nikikaa na watu wanaongea kesi kesi nawaacha naleft

Ushakuwa mkubwa majukumu mengi. Ndivyo inavyokuwa.
Dunia unamengi utabeba mangapi
 
Ujingaujinga tu.....kuitumia binti,kumzalisha bila kumtolea mahari[emoji27]
Huyo binti hajamtumia huyo kijana
Hivi mbona mnajiona special group wakati baadhi yenu mnatongoza wanaume???

Achen ujinga msipobadilika hawa jamaa watawapiga mimba sanaaa na kuwakimbia
 
Back
Top Bottom