mtoto mdogo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 501
- 130
Mimi ni msambazaji wa bidhaa kwenye supermarket mbalimbali nipo Arusha. Juzi katika kazi zangu nilipata mteja mpya ambaye ni mama mtu mzma mwenye supermarket yake.
Nilimpelekea mzigo baada ya hapo kanikaribisha nyumbani kwake weekend hii. Yeye hajaolewa ila ana watoto wawili binti na mvulana huyo binti yake ana umri kama wa miaka 17 hivi. Nilipofka kwake wamenipokia vizuri nikabahatika kumzoea.
Binti yake nikatake na contact akiwa chumbani kiukweli binti yake kanitamkia ananipenda cha ajabu leo nimepeleka mzigo mama nae kanieleza ananihitaji tena kesho tukutane hotelini, nipo njia panda.
Jamani nifanyaje,nishaurini.
Nilimpelekea mzigo baada ya hapo kanikaribisha nyumbani kwake weekend hii. Yeye hajaolewa ila ana watoto wawili binti na mvulana huyo binti yake ana umri kama wa miaka 17 hivi. Nilipofka kwake wamenipokia vizuri nikabahatika kumzoea.
Binti yake nikatake na contact akiwa chumbani kiukweli binti yake kanitamkia ananipenda cha ajabu leo nimepeleka mzigo mama nae kanieleza ananihitaji tena kesho tukutane hotelini, nipo njia panda.
Jamani nifanyaje,nishaurini.