Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,412
- Thread starter
- #61
Talaka nitakuwa nawavunjia ndoa, natafuta suluhu hiyo ndoa irudi kama awaliAmpe talaka mkewe ili apate akili kwa nini kaachwa, hatokuja kurudia tena kumkaribisha Mama na wajukuu zake kwenye ndoa nyingine.