Mama mkwe huyu anaweza kuharibu ndoa ya Mwanawe wa kike. Suluhisho ni nini?

Yani ukitaka udumu kwenye ndo yako na mke wako uwe mkoloni mbabe na mwenye misimamo utadumu na mke wako ndomana madingi zetu walidumu na mama zetu kitokana na ubabe na ukoloni walio waonesha mama zetu baba akirudi home watoto tunajua eeeh mzee kaingia nyumbani vijana wa sikuiz tuna kwama wapi yani mama mkwe akutawale kwako au ndugu wa mke wa mtawale kwako....aiseee hii ni aibu.
Mzee mwenzangu vijana wanaleta uzungu mwingi sana sikuhizi. Af malalamiko wanaleta vijiweni badala wakaze 🤣🤣🤣
 
Kuna mtu kanipa kisanga hapa nimeona niwashirikishe ili nimshauri.

Kijana anaishi Mbeya kabila Msangu kaoa mwanamke Mnyakyusa.

Baada tu ya kuoa mama wa binti akahamia kwa kijana (mkwe wake] na kuacha familia yake huko Uyole.

Baada ya miezi 6 mama mkwe akaleta wajukuu zake wanne pale kwenye ndoa mpya [ndoa ya binti yake] na hawa watoto ni wanafunzi wanasoma shule ya bweni hivyo wakifunga wanafikia hapo.

Hii familia ni ya kilokole na hata mkwe ni mlokole. Kwa sasa familia hii imekuwa na watu 7, yaani Mume, mke, mama mkwe na wajukuu wa mama mkwe wanne.

Kijana wa kiume anasema hapati muda wa mapenzi na mkewe kwakuwa mke muda wote anakaa na mama yake mzazi sebuleni. Mama mkwe ndiye anaamua cha kupikwa, muda wa kusali, nyumba ikae vipi na mambo mengine kama hayo.

Mume kasusa tendo la ndoa maana kitanda kinapiga kelele na kipo karibu na sebule ambapo watoto wanakuwa wanaangalia TV.

Mke wa huyu rafiki yangu hajui kama ameolewa na mbaya zaidi ni wale watoto wameolewa kutokea nyumbani, hawajawahi kukaa gheto, yaani kahamishia familia yake yote hapo kwa mume.

Je, nimshauri awe anafanya mapenzi na mkewe hata kama mama mkwe yupo sebuleni na anasikia miguno ya utamu?

Huyu kijana ananiambia ukimuona mtu saa moja asubuhi yupo BAA anakunywa Pilisner baridi au ukiona mtu ananunua madada-poa muombee, hajapenda ila shida za kijinga kama hizi ndizo zinaleta stress.

Naombeni ushauri ili na mimi nimpe, JE, amchane laivu mama mkwe kwamba hamtaki ama amwambie mkewe kwamba nyumba ni ya wawili na siyo familia kubwa?
Mume ahana meno, anakubali kutawaliwa na familia ya mke, afukuze wote kama wanataka waondoke na binti yao

Karne hii kukakiana ndugu maisha yenyewe magumu na ndoa haina hata mwaka

Atoe msimamo kama mume
 
Mzee mwenzangu vijana wanaleta uzungu mwingi sana sikuhizi. Af malalamiko wanaleta vijiweni badala wakaze
Wanazingua aiseee ukoloni ubabe kwa mwanamke ndo solution usi fanye compromising na mwanamke baba ukiongea ndani umeongea akuna wa kupinga....ukisema mke wangu nataka mama ako na ndugu zako waondoke akusikilize na afanye hivyo....
 
Dah inasikitisha sana mambo ya kubembelezana na mke sio!
Sasa mke anabeba ndugu anahamishia kwenu, hizo ni tabia za kisqahili, makabila kama ya tanga, uzaramoni na pwani ndio yana hizo tabia, hawa wanyakyusa wanapata wapi hizo tabia
 
Watu sijui wanaangalia parameters gani before kuoa?
Ukitaka kuoa boss ni lazima ujue background ya familia unayooa, imagine hiyo familia nina uhakika haina baba, kwa hiyo mama anajiamulia tu kuhamia kwa watoto hata miezi sita anaacha mji wake
 
Ukitaka kuoa boss ni lazima ujue background ya familia unayooa, imagine hiyo familia nina uhakika haina baba, kwa hiyo mama anajiamulia tu kuhamia kwa watoto hata miezi sita anaacha mji wake
Hakika mkuu, sasa sijui watu wana overlook haya...Kuoa kwenye stable families hasa zenye baba active ni freshi kinoma. Unauhakika nidhamu inasimamiwa vizuri.
 
Mwambie jamaa aombe ruhusa ya likizo kazini ya mwezi mmoja tu lakini mkewe asijue. Halafu familia ya huyo binti wanaambiwa kuwa jamaa kafukuzwa kazi kwahiyo maisha yanaanza kuwa magumu kuanzia siku hiyo jamaa haachi hata mia na ikiwezekana anaaga na kwenda sehemu nyingine ndani ya hiyohiyo likizo. Mkwe akiona maisha yamekuwa magumu ataaga na kurudi kijijini. Baadae anarudi na kujifanya karudishwa kazini lakini ndugu wasije kwanza mpaka nijipange.
 
Kuna mtu kanipa kisanga hapa nimeona niwashirikishe ili nimshauri.

Kijana anaishi Mbeya kabila Msangu kaoa mwanamke Mnyakyusa.

Baada tu ya kuoa mama wa binti akahamia kwa kijana (mkwe wake] na kuacha familia yake huko Uyole.

Baada ya miezi 6 mama mkwe akaleta wajukuu zake wanne pale kwenye ndoa mpya [ndoa ya binti yake] na hawa watoto ni wanafunzi wanasoma shule ya bweni hivyo wakifunga wanafikia hapo.

Hii familia ni ya kilokole na hata mkwe ni mlokole. Kwa sasa familia hii imekuwa na watu 7, yaani Mume, mke, mama mkwe na wajukuu wa mama mkwe wanne.

Kijana wa kiume anasema hapati muda wa mapenzi na mkewe kwakuwa mke muda wote anakaa na mama yake mzazi sebuleni. Mama mkwe ndiye anaamua cha kupikwa, muda wa kusali, nyumba ikae vipi na mambo mengine kama hayo.

Mume kasusa tendo la ndoa maana kitanda kinapiga kelele na kipo karibu na sebule ambapo watoto wanakuwa wanaangalia TV.

Mke wa huyu rafiki yangu hajui kama ameolewa na mbaya zaidi ni wale watoto wameolewa kutokea nyumbani, hawajawahi kukaa gheto, yaani kahamishia familia yake yote hapo kwa mume.

Je, nimshauri awe anafanya mapenzi na mkewe hata kama mama mkwe yupo sebuleni na anasikia miguno ya utamu?

Huyu kijana ananiambia ukimuona mtu saa moja asubuhi yupo BAA anakunywa Pilisner baridi au ukiona mtu ananunua madada-poa muombee, hajapenda ila shida za kijinga kama hizi ndizo zinaleta stress.

Naombeni ushauri ili na mimi nimpe, JE, amchane laivu mama mkwe kwamba hamtaki ama amwambie mkewe kwamba nyumba ni ya wawili na siyo familia kubwa?
Sisi makauzu tunaomba mzigo kwa mama mkwe lazima atakimbia tu
 
Kuna baadhi ya mambo kwenye ndoa wanaume tunatakiwa kuwa imara na misimamo migumu sana ili kuyakabili.
Kuna wakati ulokole hausaidii.

Mimi nina kisa kinafanana fanana na hicho.
Mimi nimeoa bint ambaye amesoma IFM lakin baada ya ndoa aliokoka kabisa mm nikaendelea nau katoliki wangu kama kawa na maisha ya gambe japo tunaishi kwa amani sana.

Sasa mke wangu akawa na tabia ya kukaribisha mashoga zake home wanakaa hadi week au miezi, yan kila wakitaka kuja Dar wanafikia kwangu ugali na malazi free coz watoto ni wadogo room zao zipo tu.
Wanakaa seblen ovyoovyo na wakati mmingine wanatoka na kurejea muda mbaya sana na inabidi kuwafungulia.
Baadae kwa kuwa mm ni mtu wa gambe wakawa wanakomaa kutoka na mm wife anasali analala.
Nilimtoa outing siku moja nikamueleza kwamba siwatak na kama wanakuja iwe mara mojamoja na wakae kwa adabu.
Wife akalalamika kwamba Mimi sina huruma na marafiki zake ni nina roho mbaya maana marafiki zake hawanakazi tuendelee kuwasaidia maana hata pesa ninazopata ni baraka toka kwa Mungu maana nawasaidia marafiki zake.

Kuna kimoja ni kama kiarabu cha Kyabakari huko.
Nikakityt nikakila nyapu kama mwezi mfululizo na kilivyo kifala kikawasimulia wenzake kwamba kina danga jipya mjini. Wenzake wakamsimulia wife ujinga wa wife akapunic akanifuata kuuliza bila kukusanya ushahidi. Hii ilinisaidia kubisha lakin wife alipata waswas yan hakuamin 100%.
NAWAAMBIA NINA MWEZI WA NNE SIJAONA SHOGA, BEST FRIEND WALA CLASSMATES.

KUNA WAKATI DAWA YA MOTO NI MOTO.
 
Kuna mtu kanipa kisanga hapa nimeona niwashirikishe ili nimshauri.

Kijana anaishi Mbeya kabila Msangu kaoa mwanamke Mnyakyusa.

Baada tu ya kuoa mama wa binti akahamia kwa kijana (mkwe wake] na kuacha familia yake huko Uyole.

Baada ya miezi 6 mama mkwe akaleta wajukuu zake wanne pale kwenye ndoa mpya [ndoa ya binti yake] na hawa watoto ni wanafunzi wanasoma shule ya bweni hivyo wakifunga wanafikia hapo.

Hii familia ni ya kilokole na hata mkwe ni mlokole. Kwa sasa familia hii imekuwa na watu 7, yaani Mume, mke, mama mkwe na wajukuu wa mama mkwe wanne.

Kijana wa kiume anasema hapati muda wa mapenzi na mkewe kwakuwa mke muda wote anakaa na mama yake mzazi sebuleni. Mama mkwe ndiye anaamua cha kupikwa, muda wa kusali, nyumba ikae vipi na mambo mengine kama hayo.

Mume kasusa tendo la ndoa maana kitanda kinapiga kelele na kipo karibu na sebule ambapo watoto wanakuwa wanaangalia TV.

Mke wa huyu rafiki yangu hajui kama ameolewa na mbaya zaidi ni wale watoto wameolewa kutokea nyumbani, hawajawahi kukaa gheto, yaani kahamishia familia yake yote hapo kwa mume.

Je, nimshauri awe anafanya mapenzi na mkewe hata kama mama mkwe yupo sebuleni na anasikia miguno ya utamu?

Huyu kijana ananiambia ukimuona mtu saa moja asubuhi yupo BAA anakunywa Pilisner baridi au ukiona mtu ananunua madada-poa muombee, hajapenda ila shida za kijinga kama hizi ndizo zinaleta stress.

Naombeni ushauri ili na mimi nimpe, JE, amchane laivu mama mkwe kwamba hamtaki ama amwambie mkewe kwamba nyumba ni ya wawili na siyo familia kubwa?
Ampe talaka mkewe ili apate akili kwa nini kaachwa, hatokuja kurudia tena kumkaribisha Mama na wajukuu zake kwenye ndoa nyingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom