Mama mkwe amenichosha

Mama mkwe amenichosha

Umwambie mkeo ampe nauli asepe, vinginevyo naona taa nyekundu inaiwakia ndoa yako
 
Salaam wadau,
Namshukuru mungu pamoja na umri kwenda lakini kwa kuwa bado nipo town najiita babu mbishi,

Bahati nyingine mke wangu amepata mtoto na tamu zaidi mtoto wangu mwingine niliezaa na mke wangu wa kwanza huko tanga ameniletea zawadi ya gari,toka huko falme za kiarabu japo ni kama kile cha lodi lofa lakini naamini kuna wengineo hamjamiliki

Jamani kubwa lilionikuta mpaka nimeamua kuwafikishia ndugu zanguni ni huyu mama mkwe,mke wangu bado ni msichana mbichi kabisa kamaliza form six nikamuoa,na mama ya mke wangu nae bado anadai yaani wakisimama na mwanawe kama mtu na dada yake,

Sasa tangu aje hapa huyu mama mkwe na mtoto wangu nae yupo hapa nyumbani,simuelewi huyu mkwe wangu kwanza hupita na khanga moja tu kwenda kuoga baadae akitoka huko kuoga na khanga imelowa na mbaya zaidi amejaliwa kumshinda mwanawe ma-ashallah,

Akitoka hujilaza na mkeka hapa sitting room na huichukua miguu yake na kuikunja nne huku amelala chali majipaja yote nje muda mwengine kifudifudi ikifikia hapo mimi huwa naondoka ,na yule mtoto wangu mpaka ameniuliza kuhusu ule uzushi wa bibi yake wa kufikia,

Sasa kubwa na la kushangaza ni juzi kati tumekwenda madukani kununua nguo za watoto ,mama mkwe amenga'ng'ania nimchagulie chupi, nimnunulie mpaka aibu,hadi dada muuza nguo ameshangaa na kuniuliza nani wangu kwa vile alivyokuwa analalamika ,jibu lake ni kuwa cha ajabu ni nini,neno lake la mwisho kama mimi sitaki basi huyu mtoto wangu jesse amchagulie mtoto akaona uchuro akajikataa,

Kwa kuwa ameona hii gari analazimisha kutolewa out yaani naona kero sasa na halali mpaka yeye ndio anifungulie mlango,nafikiria nimweleze mwanawe ili ampe nauli aondoke lakini naona kama nitawagombanisha na pia nafikiria labda,nimwambie ukweli tu mama mkwe lakini sina hakika nitaanzaje.
Jamani nimemchoka huyu mama mkwe nimfanyaje mwanangu kaamua kwenda kwa mama yake baada ya vituko kuzidi
Story inafundisha
 
MKUU HII NI HADITHI YA KUTUNGA AU YA KUBUNI???JE MHUSIKA MKUU WA HII SCRIPT NI WEWE AU???✔
 
Jamani kubwa lilionikuta mpaka nimeamua kuwafikishia ndugu zanguni ni huyu mama mkwe

Ingekuwa vizuri uombe ushauri huko ulikotoka ikishindikana ndio kuja hapa hata mahakama kuna za mwanzo na za wilaya mpaka ile kuu jf ina mamlaka ya mwisho ya kumshauri mtu mamlaka hiyo imepewa na katiba ya JMT. JF ina watu wenye weledi kamwe hawajapata kutokea kabla
 
Salaam wadau,
Namshukuru mungu pamoja na umri kwenda lakini kwa kuwa bado nipo town najiita babu mbishi,

Bahati nyingine mke wangu amepata mtoto na tamu zaidi mtoto wangu mwingine niliezaa na mke wangu wa kwanza huko tanga ameniletea zawadi ya gari,toka huko falme za kiarabu japo ni kama kile cha lodi lofa lakini naamini kuna wengineo hamjamiliki

Jamani kubwa lilionikuta mpaka nimeamua kuwafikishia ndugu zanguni ni huyu mama mkwe,mke wangu bado ni msichana mbichi kabisa kamaliza form six nikamuoa,na mama ya mke wangu nae bado anadai yaani wakisimama na mwanawe kama mtu na dada yake,

Sasa tangu aje hapa huyu mama mkwe na mtoto wangu nae yupo hapa nyumbani,simuelewi huyu mkwe wangu kwanza hupita na khanga moja tu kwenda kuoga baadae akitoka huko kuoga na khanga imelowa na mbaya zaidi amejaliwa kumshinda mwanawe ma-ashallah,

Akitoka hujilaza na mkeka hapa sitting room na huichukua miguu yake na kuikunja nne huku amelala chali majipaja yote nje muda mwengine kifudifudi ikifikia hapo mimi huwa naondoka ,na yule mtoto wangu mpaka ameniuliza kuhusu ule uzushi wa bibi yake wa kufikia,

Sasa kubwa na la kushangaza ni juzi kati tumekwenda madukani kununua nguo za watoto ,mama mkwe amenga'ng'ania nimchagulie chupi, nimnunulie mpaka aibu,hadi dada muuza nguo ameshangaa na kuniuliza nani wangu kwa vile alivyokuwa analalamika ,jibu lake ni kuwa cha ajabu ni nini,neno lake la mwisho kama mimi sitaki basi huyu mtoto wangu jesse amchagulie mtoto akaona uchuro akajikataa,

Kwa kuwa ameona hii gari analazimisha kutolewa out yaani naona kero sasa na halali mpaka yeye ndio anifungulie mlango,nafikiria nimweleze mwanawe ili ampe nauli aondoke lakini naona kama nitawagombanisha na pia nafikiria labda,nimwambie ukweli tu mama mkwe lakini sina hakika nitaanzaje.
Jamani nimemchoka huyu mama mkwe nimfanyaje mwanangu kaamua kwenda kwa mama yake baada ya vituko kuzidi
Mwambie tu ukweli mkeo, kua hauko comfortable na behavior za mama, sipendi anavyojifunga khanga moja tenabele ya mtoto haileti picha nzuri, pia hakatazwi kujilaza kwenye mkeka lakini anaweza kua anapumzika tu hata chambi, akishaongea nae Kuna mawili mama ata mind lakini ujumbe utakua umemfikia na wewe utakua safe kwa upande wako pia anaweza kuondoka kbisa au mkeo akamuondoa
 
Mwambie tu ukweli mkeo, kua hauko comfortable na behavior za mama, sipendi anavyojifunga khanga moja tenabele ya mtoto haileti picha nzuri, pia hakatazwi kujilaza kwenye mkeka lakini anaweza kua anapumzika tu hata chambi, akishaongea nae Kuna mawili mama ata mind lakini ujumbe utakua umemfikia na wewe utakua safe kwa upande wako pia anaweza kuondoka kbisa au mkeo akamuondoa
Ushauri nitaufanyia kazi
 
Ingekuwa vizuri uombe ushauri huko ulikotoka ikishindikana ndio kuja hapa hata mahakama kuna za mwanzo na za wilaya mpaka ile kuu jf ina mamlaka ya mwisho ya kumshauri mtu mamlaka hiyo imepewa na katiba ya JMT. JF ina watu wenye weledi kamwe hawajapata kutokea kabla
Akhsante kwa maoni nayaheshimu
 
MKUU HII NI HADITHI YA KUTUNGA AU YA KUBUNI???JE MHUSIKA MKUU WA HII SCRIPT NI WEWE AU???
Kwa sababu imehadithiwa hata kama ni ukweli wa kiasi gani bado itaitwa ni hadithi tu haina jina jingine mkuu
 
Wewe ni mtunzi mzuri, jitahidi ukutane na Shigongo.
You gonna make alot of money out your talent nigger
 
Mkuu tunakulaga anza kugawa dozi upange na ratiba ila iwe equal share baina ya mama na mwanae.... Kula, kula, kula, mkuu
 
Back
Top Bottom