Mama Mia Ni wangu

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Mama Mia

Wewe ni wangu sina Taimu na vicheche .

Nakuomba Tena kwa mara Nyingine Uje JF uninongoneze
 
Naam , naam nawaambia.

Hata vicheche watasema hawana time na vicheche. Hizi ndizo habari.

Pussywhipped 2:23
 
Shy huna ubavu wa kumbeba mama mia we endelea kula kwa macho na kulia lia.
 
Bonge la mtu ana kilo 120 kama gunia la viazi ataweza wapi? Hiyo ni mzigo yetu bht.

hahaaa shy ana ngapi Fide?? am trying to imagine u na hiyo'mizigo' ya 120 inakuwaje!!! utavunjwa mbavu wewe!!!!!!!!!
 
Mama Mia

Wewe ni wangu sina Taimu na vicheche .

Nakuomba Tena kwa mara Nyingine Uje JF uninongoneze


Shy
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Thu Nov 2006-sawa
Posts: 4,150-sawa kabisa
Thanks: 0-mh kuna walakini hapa
Thanked 118 Times in 77 Posts

Wewe mchoyo sana na ndio maana mama mia hakutaki sasa unatapatapa.
 
hahaaa shy ana ngapi Fide?? am trying to imagine u na hiyo'mizigo' ya 120 inakuwaje!!! utavunjwa mbavu wewe!!!!!!!!!

Hahahaha bht hiyo mama ndo mizigo yangu nina mkakati wa kuanza kukutambulisha mmoja baada ya mwingine huyo ana uzito wa unyoya.
 
Hahahaha bht hiyo mama ndo mizigo yangu nina mkakati wa kuanza kukutambulisha mmoja baada ya mwingine huyo ana uzito wa unyoya.

yeomiiiiiiiiii!!! naogopa mie usije ukasema nimekuharibia maana sitavumilia uwapange katu!!!!!!!!!!! ntakuumbua hivyo bora usinishirikishe kwenye hilo!!!
 
yeomiiiiiiiiii!!! naogopa mie usije ukasema nimekuharibia maana sitavumilia uwapange katu!!!!!!!!!!! ntakuumbua hivyo bora usinishirikishe kwenye hilo!!!

Hahahaha uniumbue kwa lipi wakati wanajuana!!
Yaani wao wenyewe wanaitana Dada mdogo dada mkubwa ukiwa na mkakati wa kuniumbua utagonga hewa.
 
Hahahaha uniumbue kwa lipi wakati wanajuana!!
Yaani wao wenyewe wanaitana Dada mdogo dada mkubwa ukiwa na mkakati wa kuniumbua utagonga hewa.

khee simo!!!!!!! kumbe maridhiano!!
 
Huyo Shy mbona nina tetesi kuwa ana id nyingine mbili hapa: Pape na Bwabwa.
 
If I have to wait for one year
Even, if I have to wait for ten years.
As long as you are going to be my baby, I don?t mind to wait for your love.

If I could, I will give you heaven on earth.
If I could, I will give the sun and the moon.
If I could, I will give you the stars.
If I could, I will give you the four winds.
If I could, I will give you the seven seas.
Just to prove and to show you how much I love you!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom